Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama kama chamaCHADEMA kimekuwa ni chama NDOIGE. Ukikipenda ndiyo umekipenda na ukikichukia ndiyo umekipenda pia!!
Kwani chadema ndio walienda mahakamani au wamepelekwa mahakamani?Kinana atakuwa anawafundisha siasa...waachane na harakati za mahakamani..wajue siasa..
Wajue Ku compromise madogo ili wapate makubwa...
Siasa sio kushinda Kesi mahakamani
Kesi ya moto hilo zigo alilowaachia MwendazakeKesi ya c19 imeshika pabaya, ukiwatoa c19 takwa la Kamati ya Fedha bungeni litaleta ukakasi ulaya.
BadoUmeshaondoka Ulaya??!
Mfano akitokea muhuni kama Mseven wa Uganda,itakuwa powa sana.Kuna siku CCM, CDM na ACT wataamka watajikuta wapo out of touch na wananchi.
Hawa vijana chini ya 30 watakuja kubadilisha siasa za hii nchi.
SawaTANZANIA mpya inakuja
Vijana wenyewe ndio hawa wanawaza mbususu tu kila wakat??Kuna siku CCM, CDM na ACT wataamka watajikuta wapo out of touch na wananchi.
Hawa vijana chini ya 30 watakuja kubadilisha siasa za hii nchi.