Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Nimemuangalia mtangazaji huyu wa star tv leo akiendesha mahojiano na Dk Slaa,
nilichokiona ni kwamba huyu mtangazaji alikuwa akiongea na slaa kwa kumtegatega hivi au kumwekea maneno mdomoni lakini slaa alikuwa makini mno kulitambua hilo.....na hadi akafikia hatua ya kumkemea kuwa kama hataki kusikiliza hoja zake kwanini ana muuliza na kwanini alimualika?......Mabuga akanywea na kwa wataalam wa kusoma lugha ya macho ni kwamba pia aliogopa na kubabaika!
Ushauri,.....
Ni mara nyingi paul mabuga amekuwa akitoa maneno ya kumfanya Slaa aonekane kama ni mtu ovyo ovyo, sasa sijui ni upeo wake(Mabuga) unaamini hivyo, au anatumwa??.......Paul usiwe hivyo wenye akili watakudharau mnoo!!.., kama ndivyo ulivyo, hiyo kazi acha rudi kwenye kazi yako ya ualimu wa shule ya msingi...
DK Slaa ni mtu makini mno,.....
Paul asirudie kuongea na watu makini kama Slaa kirahisi rahisi au bila kutumia akili kama mabavyo angeweza/anaweza au anavyoongea na watu aina ya Jakaya Kikwete, Masanja Mkandamizaji, Makamba, Kingwendu, Kinana, Joti..nk
nilichokiona ni kwamba huyu mtangazaji alikuwa akiongea na slaa kwa kumtegatega hivi au kumwekea maneno mdomoni lakini slaa alikuwa makini mno kulitambua hilo.....na hadi akafikia hatua ya kumkemea kuwa kama hataki kusikiliza hoja zake kwanini ana muuliza na kwanini alimualika?......Mabuga akanywea na kwa wataalam wa kusoma lugha ya macho ni kwamba pia aliogopa na kubabaika!
Ushauri,.....
Ni mara nyingi paul mabuga amekuwa akitoa maneno ya kumfanya Slaa aonekane kama ni mtu ovyo ovyo, sasa sijui ni upeo wake(Mabuga) unaamini hivyo, au anatumwa??.......Paul usiwe hivyo wenye akili watakudharau mnoo!!.., kama ndivyo ulivyo, hiyo kazi acha rudi kwenye kazi yako ya ualimu wa shule ya msingi...
DK Slaa ni mtu makini mno,.....
Paul asirudie kuongea na watu makini kama Slaa kirahisi rahisi au bila kutumia akili kama mabavyo angeweza/anaweza au anavyoongea na watu aina ya Jakaya Kikwete, Masanja Mkandamizaji, Makamba, Kingwendu, Kinana, Joti..nk