Elections 2010 Kinana na Dr Slaa - Live Star TV

Elections 2010 Kinana na Dr Slaa - Live Star TV

yah it ws fantastic, Dr. Slaa alikuwa anachambua sera na jinsi ya kuwatumikia wananchi, pia ameongelea suala la wakuu wa Wilaya, amesema haoni sababu ya wilaya kuwa na mkuu wa wilaya wakati kuna mkurugenzi wa wilaya, amesema hakuna mantiki yoyote na pia amesema haoni sababu ya kuwa mawaziri wengi na manaibu wake wakati utekelezaji wa sera za chama hufanyika just for a short time from time being elected by the president, na pia hahitaji baraza kubwa la mawaziri just for answering questions ndani ya mjengo, kusema ukweli kalikuwa kamdahalo kazuri though Kinana hakuna alilokuwa anaongea, yeye sio mgombea, it is shame on them, so hakuna tulichosikia toka ccm zaidi ya kinana kumsifia jamaa na kuorodhesha walichofanya ccm, it was none sense actually, enzi hizi sio za kumsemea mtu, let him speak for himself
 
Slaa anaweza, anapanga point sana.yaani hawa CCM kila kitu wao hawawezi! eti haiwezekani kuwa na mawaziri 20! ajabu kweli kweli.
Halafu mimi nimemshangaa jamaa, anasema marekani wao uchumi wao mkubwa, lakini hajaongelea kuhusu marekani wakati ina uchumi kidogo, yeye ameng'ang'ania tu kuhusu nchi maskini, halafu haileti maana yoyote, make mimi nilitegemea kuwa kutokna na sisi kuwa maskini basi tunahitaji kubana matumizi ambayo pia ni kubana mfumo mzima wa utendaji, yeye ndo alizidi kusema kuwa kwa nchi maskini tunahitaji kuwa na serikali kubwa ili kufanikisha utendaji, je utendaji unahitaji wingi wa watu au utekelezaji wa sera na dira? Dr. Slaa kweli ana akili sana, makehata yeye alisema utekelezaji wa sera hatuhitaji kundi la watu au kufurahisha kundi la watu, tunahitaji watu makini tu na waadilifu, wenye moyo wa kulitumikia taifa lao----real PATRIOTIC PEOPLE na wala sio kundi la watu 60, halafu waadilifu 2.
 
Jinsi mlivyo yapania marudia nahisi kama habari zitafika kwa mkwere atamshtua dialo kuwa aamuru tv yake isirudie hicho kipindi kwa sababu yaliyoongelewa ni uchochezi tena wenye lengo la kuwabagua watz kidini na kikabila hali itakayo leta uvunjifu wa amani na umwagaji damu! HAKIRUDIWI TENA WAUNGWANA TUOMBE MUNGU YASITOKEE
 
Kinana amekubali kuwa ahadi ni nyingi, na kudai kuwa ni ahadi za kiongozi ila sio za chama

Whaaaaaaaaat a shame!!!! jamani wewe uto ahadi then uzikatae sio za CCM then huko kwenye kampeni si wana sema CCM ilifanya hiki chini ya Uongozi wao nini maaaana yake sasa

Na ndio maaana hata huku kwenye TV hawa viongozi wa CCM waliopo ni hawajui walifanyalo kabisa nadhani kuna adhabu ambayo Mwl.Nyerere aliwaambia hawa viongozi wa CCM waliopo Madarakani na nilazima iwasurubu kweli

 
Halafu mimi nimemshangaa jamaa, anasema marekani wao uchumi wao mkubwa, lakini hajaongelea kuhusu marekani wakati ina uchumi kidogo, yeye ameng'ang'ania tu kuhusu nchi maskini, halafu haileti maana yoyote, make mimi nilitegemea kuwa kutokna na sisi kuwa maskini basi tunahitaji kubana matumizi ambayo pia ni kubana mfumo mzima wa utendaji, yeye ndo alizidi kusema kuwa kwa nchi maskini tunahitaji kuwa na serikali kubwa ili kufanikisha utendaji, je utendaji unahitaji wingi wa watu au utekelezaji wa sera na dira? Dr. Slaa kweli ana akili sana, makehata yeye alisema utekelezaji wa sera hatuhitaji kundi la watu au kufurahisha kundi la watu, tunahitaji watu makini tu na waadilifu, wenye moyo wa kulitumikia taifa lao----real PATRIOTIC PEOPLE na wala sio kundi la watu 60, halafu waadilifu 2.

Sawa kabisa me nadhani wana CCM wakubaliane nami inapo fika swala la Country First let it be Country First na sio mambo ya mzahaaa kwa maslahi ya UMMMA nadhani viongozi wengi wa CCM hawajui wapi watakapo tokea na wanakuwa na wasi wasi kuwa upinzani ukishika madaraka basi wengi wao watswekwa ndani in fact that is true na hapo hakua ubisha kama CCM wanataka kuendelea madarakani ni lazima waibadiri katiba ya nchi na kuzi tumikia sheria za nchi basi huko ndipo kutakuwa na pona yao.

Wajua wananchi sasa hivi sio wajinga wameenda shule na wana upeo na wamefunguka sana, huwezi kuwadanganya kwa lolote sasa, Na wapiga kura wengi watatoka CCM na wataipigia CHADEMA na hili silijutiii kabisa kwani ni Viongozi wa ngazi za Juu CCM walijisahau sana hawakutizama alama za nyakati kabisa Kolimba alipo waaambia CCM imekosa Dira na yeye that time alikuwa Katibu Wa CCM Taifa he knew wapi mlikokuwa mkienda na hamkumsikia na hayo maneno ndio yanawasurubu viongozi waliko CCM na ubabe wao ni wabishi kukubali mabadiliko

 
Watarudia leo saa 5 usiku, lakini nahic nimbinu nyingine ya ccm kumpunguzia kura slaa, kwan wanamuuliza maswal akitaka kujibu tu wanasema mda hautoshi,lakin kinana anajieleza mwenyewe mpaka anachoga bila kukatishwa. Inakera kwakwel, lakin kunamtu amepiga cm na kulizungumzia hli, mtangazaji aibu imemjaaa....

Kumbe uliona eh? Nilifurahi sana step fulani kabla ya zile dakika 30 walizoongezwa mtangazaji akataka kumkata Dr Slaa kwa kumuambia 'Muda umetuishia' na mzee mzima kumjibu kuwa 'Ngoja nimalize kufafanua hili, mngekuwa hamna muda msingeniita!' Niliipenda sana hii.
Huko kwa Christina Mbezi alikokuwa Kinana ndio kabisa kulikuwa hakuna kitu kuonyesha waandishi wetu walivyo waoga kuuliza maswali magumu.

 
kumbe uliona eh? Nilifurahi sana step fulani kabla ya zile dakika 30 walizoongezwa mtangazaji akataka kumkata dr slaa kwa kumuambia 'muda umetuishia' na mzee mzima kumjibu kuwa 'ngoja nimalize kufafanua hili, mngekuwa hamna muda msingeniita!' niliipenda sana hii.
huko kwa christina mbezi alikokuwa kinana ndio kabisa kulikuwa hakuna kitu kuonyesha waandishi wetu walivyo waoga kuuliza maswali magumu.


hata wafanye mchezo mchafu bado haitabadili mindset ya watu. Mfano wanamnyima muda wakutosha dakta wanampa kinana, watu wanaona. Wasijedhani kwa kumbania muda ndiyo watu watadhani jamaa hajui either kujieleza au hana sera. Watu wamemsikia kwenye kampeni, hii ni nyongeza tu.
 
Jinsi mlivyo yapania marudia nahisi kama habari zitafika kwa mkwere atamshtua dialo kuwa aamuru tv yake isirudie hicho kipindi kwa sababu yaliyoongelewa ni uchochezi tena wenye lengo la kuwabagua watz kidini na kikabila hali itakayo leta uvunjifu wa amani na umwagaji damu! HAKIRUDIWI TENA WAUNGWANA TUOMBE MUNGU YASITOKEE

Ndiyo maana ilionyeshwa asubuhi kimyakimya ili kupima upepo utawaendeaje. Sasa hivi wanajaribu kila mbinu. Sasa wameona Kinana kachemsha watamgeukia Diallo ili kipindi kisirushwe hewani. Kwanza kwanini kiwe saa 5 usiku badala ya saa mbili au tatu??
 
Yale Mahojiano yaliyofanyika leo ndani ya STAR TV yakilishirikisha Dr. Slaa na Kinana kurudiwa leo hii usiku saa 5.
Tuliokosa kipindi hicho leo asubuhi hii ndiyo nafasi ya kupata ujumbe toka kwa Dr. Slaa & Kinana
 
Kosa ni la CCM. Viongozi wa CCM kujificha ficha.
Lakini hata hivyo yaonekana Mgombea wa CCM siyo the best kutoka ktk chama chao ndo maana anakingwa ili asiseme utumbo.

Nawashauri wamuelimishe maana akiendelea kuwa Rais ni huyo huyo atakayesema mengi ya ajabu tena kwa niaba ya nchi. Naelewa tatizo alilonalo, hafundishiki, ni kama kuni mbichi -hauwaki.

Tangu lini JK analiongoza taifa la Tanzania?
JK amewekwa pale kama picha tu, maslahi ya wengine kabisa. Kwa nini hapendi kuulizwa maswali publicly?
 
Tazameni muda huu star tv wale ambao hamjapata kuangalia asubuhi
 
Dk wa ukweli anasema angefurahi kuwa na jk kuliko kampeni meneja
 
Dk asema atatembelea Suzuki na kupunguza bei ya vifaa vya ujenzi
 
anasema atatumia suzuki kama usafiri wake.anazungumzia umasikini na nyumba mbovu za watanzania na udogo wa baraza la mawaziri
 
Back
Top Bottom