Kinana na Jakaya Kikwete ana kwa ana msibani kwa Jenerali David Musuguri

Kinana na Jakaya Kikwete ana kwa ana msibani kwa Jenerali David Musuguri

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Hivi Ndivyo Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete na Katibu Mkuu Mstaafu na Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa mstaafu Ndugu Abdulhaman Kinana walivyokutana uso kwa uso na kubadilishana mawazo na stori za hapa na pale walipokuwa msibani kwa Marehemu Jenerali David Msuguri.

Ambapo kulikuwa na shughuli za kuaga Mwili wake Hospitali kuu ya jeshi Lugalo. Ikumbukwe kuwa au Nawakumbusha ya kuwa Mheshimiwa Dkt Jakaya Kikwete na Mheshimiwa Abdulhaman Kinana ni viongozi wenye historia ndefu sana na ya kipekee sana na ambao waweza kusema ya kuwa wameshibana kiurafiki.

Wamefanya kazi pamoja kwa muda mrefu sana na kwa kuaminiana sana. Lakini pia nawakumbusheni ya kuwa hawa wote ni Wanajeshi walioiva kisawasawa na wenye kujua mbinu zote za kijasusi na hivyo waweza kusema ni Majasusi walioiva
Screenshot_20241104-151933_2.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hivi Ndivyo Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete na Katibu Mkuu Mstaafu na Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa mstaafu Ndugu Abdulhaman Kinana walivyokutana uso kwa uso na kubadilishana mawazo na stori za hapa na pale walipokuwa msibani kwa Marehemu Jenerali David Msuguri.

Ambapo kulikuwa na shughuli za kuaga Mwili wake Hospitali kuu ya jeshi Lugalo. Ikumbukwe kuwa au Nawakumbusha ya kuwa Mheshimiwa Dkt Jakaya Kikwete na Mheshimiwa Abdulhaman Kinana ni viongozi wenye historia ndefu sana na ya kipekee sana na ambao waweza kusema ya kuwa wameshibana kiurafiki.

Wamefanya kazi pamoja kwa muda mrefu sana na kwa kuaminiana sana. Lakini pia nawakumbusheni ya kuwa hawa wote ni Wanajeshi walioiva kisawasawa na wenye kujua mbinu zote za kijasusi na hivyo waweza kusema ni Majasusi walioivaView attachment 3143299

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Mkumbushe Mama ABDUL kutoka huko mapumziko kuja Kumzika Shujaa wa Tanzania.
 
Hao ndio wazee ambao samiah anawaambiwa akiongea nao nchi itatulia!!

Kwahio nchi haijatulia chini ya jemadari Hadi samiah aongee na wazee !!?

Kwako Lucas Mwashambwa!
Kwa sasa nchi ni tulivu na imetulia na inasonga mbele kwa kishindoo kikuu kinachoendelea kuitetemesha Dunia nzima na kuteka anga la kimataifa.
 
Niumie kwa wewe kuandika kiingereza? Embu acha utani wako hapa.
Usiumie vipi wakati wewe ni chawa usiyeweza kuandika hata sentensi moja ya kiingereza??

Huwa unaandika manyuzi yako marefu ya kiswahili kibovu hapa jukwaani. Hujawahi hata siku moja kuandika uzi hata wa sentensi moja wa kiingereza.

Poor Lucas Mwashambwa !!
 
Back
Top Bottom