jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Ni sawa tu majina yenu yanaendana mnoo!Lucas Mwashambwa, unaonaje kuanzia leo niwe chawa wako, yaani niwe chawa wa Chawa.
Mashamba/Mwashwambwa
Barnabas/lucas
Yani mule mule bila chenga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa tu majina yenu yanaendana mnoo!Lucas Mwashambwa, unaonaje kuanzia leo niwe chawa wako, yaani niwe chawa wa Chawa.
Kama unataka kazi sema na wewe nikupatie shamba ulime.Ni sawa tu majina yenu yanaendana mnoo!
Mashamba/Mwashwambwa
Barnabas/lucas
Yani mule mule bila chenga.
We hapo uko wapiKweli kabisa.Ni marafiki ambao hawajakutana barabarani.
Unalima wapi luca Acha mkwala banaKama unataka kazi sema na wewe nikupatie shamba ulime.
Barnabas Lucas Mashamba Mwashambwa.Kama unataka kazi sema na wewe nikupatie shamba ulime.
Shahawa zilizokuzaa heri zingemwagwa chooni tuNdugu zangu Watanzania,
Hivi Ndivyo Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete na Katibu Mkuu Mstaafu na Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa mstaafu Ndugu Abdulhaman Kinana walivyokutana uso kwa uso na kubadilishana mawazo na stori za hapa na pale walipokuwa msibani kwa Marehemu Jenerali David Msuguri.
Ambapo kulikuwa na shughuli za kuaga Mwili wake Hospitali kuu ya jeshi Lugalo. Ikumbukwe kuwa au Nawakumbusha ya kuwa Mheshimiwa Dkt Jakaya Kikwete na Mheshimiwa Abdulhaman Kinana ni viongozi wenye historia ndefu sana na ya kipekee sana na ambao waweza kusema ya kuwa wameshibana kiurafiki.
Wamefanya kazi pamoja kwa muda mrefu sana na kwa kuaminiana sana. Lakini pia nawakumbusheni ya kuwa hawa wote ni Wanajeshi walioiva kisawasawa na wenye kujua mbinu zote za kijasusi na hivyo waweza kusema ni Majasusi walioivaView attachment 3143299
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kuzaliwa kwake huyu mwehu ni matumizi mabaya ya manii.Shahawa zilizokuzaa heri zingemwagwa chooni tu
Mimi sivai KaundaKaka Lucas Mwashambwa unavaa kaunda namba ngapi nikuongezee moja kaka.
Kopo na mfuniko mmekutanaKuzaliwa kwake huyu mwehu ni matumizi mabaya ya manii.
Kiasi gani unataka na una shilingi ngapi.Barnabas Lucas Mashamba Mwashambwa.
Haya nipatie shamba nikalime mimi.
Nyanda za juu kusini.Unalima wapi luca Acha mkwala bana
Ova
Condom moja ingetuondolea huu upuuziKopo na mfuniko mmekutana
Mungu akusamehe sana maana shetani kakuteka na kukutumikisha.Condom moja ingetuondolea huu upuuzi
Hamnaga aibu wenye hizo tabia.Ndugu zangu Watanzania,
Hivi Ndivyo Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete na Katibu Mkuu Mstaafu na Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa mstaafu Ndugu Abdulhaman Kinana walivyokutana uso kwa uso na kubadilishana mawazo na stori za hapa na pale walipokuwa msibani kwa Marehemu Jenerali David Msuguri.
Ambapo kulikuwa na shughuli za kuaga Mwili wake Hospitali kuu ya jeshi Lugalo. Ikumbukwe kuwa au Nawakumbusha ya kuwa Mheshimiwa Dkt Jakaya Kikwete na Mheshimiwa Abdulhaman Kinana ni viongozi wenye historia ndefu sana na ya kipekee sana na ambao waweza kusema ya kuwa wameshibana kiurafiki.
Wamefanya kazi pamoja kwa muda mrefu sana na kwa kuaminiana sana. Lakini pia nawakumbusheni ya kuwa hawa wote ni Wanajeshi walioiva kisawasawa na wenye kujua mbinu zote za kijasusi na hivyo waweza kusema ni Majasusi walioivaView attachment 3143299
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Aibu ya nini tena ewe mtanzania uliyejaa msongo wa mawazoHamnaga aibu wenye hizo tabia.
Ndio basi tena Mwashambwa hakai kwenye category Wakuu.Mimi sivai Kaunda
Shetani mkubwa wewe kuzimu ndiyo nyumbani kwakoMungu akusamehe sana maana shetani kakuteka na kukutumikisha.
Wewe unavaa dera la kijani na vikuku miguuniMimi sivai Kaunda