Kinana: Tusipendeleane, tusibebane

Niliona hiyo clip.
Kama ni ya karibuni, wameshtuka; akili zinawarudia!
Hakuna jipya hapo. Mnapangwa kijanja mdhanie chama chao hakina tatizo na uongozi wa chama hauna tatizo bali serikalini kuna tatizo.
Kwani serikali inaongozwa na chama gani?
Anatuliza upepo tu.
 
Hakuna jipya hapo. Mnapangwa kijanja mdhanie chama chao hakina tatizo na uongozi wa chama hauna tatizo bali serikalini kuna tatizo.
Kwani serikali inaongozwa na chama gani?
Anatuliza upepo tu.
Mkuu ulisikiliza hiyo clip?
 
Kuna kikao cha kimkakati cha wabunge wa CCM kilifanyika huko Dodoma kupitisha hayo makolokolo ya DP world, Je Mzee Kinana nakulijua hilo? kama alilijua alichukua hatua gani kama mkuu wa chama?
Yeye mwenyewe ni mguu ndani mguu nje
 
Mkuu ulisikiliza hiyo clip?
Sina haja ya kusikililiza.
Hiyo mbinu anaitumia mara ya pili.
Kuna wakati awamu ya Kikwete hali ilikuwa mbaya sana huyu Kinana akaanza kuongea maneno kama haya kubadili upepo.
Umemsahau nani alisema kuna mawaziri mizigo?
 
Msomali amewalikbia al shababu na Kuja kutusumbua hiku
 
Mkuu, nasikiaga hao huwa ni cream na wanafanyiwa vetting? Sasa wanakuwaje tena wavivu?
 
Huyu siasa imeshamshinda ajikite tu kwenye ile biashara yake ya ujangiri naona tembo wamekuwa wengi hadi wanakuwa tishio kwa binadamu atusaidie katika eneo hilo.
 
Hii mbinu imepitwa na wakati,nafikiri chama changu pendwa cha CCM tumeshindwa kuongoza nchi kwa weledi,sababu ni kuleana,

Kuna watoto wanaojiita baba zao wallipigania hii nchi ndio tatizo kubwa sana,hawana uwezo kuendesha majukumu makubwa wanayokabidhiwa na ni wezi pia
 
Mstaafu anaporudishwa kazini, ni muda Kwa vijana kujitafakari.
 
...
Kauli hii ya Kinana ya "Tusipendeleane, Tusibebane" inaonesha kana kwamba CCM inatufanyia usanii.

Hii yote ni siasa tu.

It's all about Politics and Power. Politicians use People to get in Power and use Power to make People keep them in Power.

Hicho ndicho anachofanya Kinana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…