Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
SanaWana tuset mbwa hawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SanaWana tuset mbwa hawa
Sio mara ya kwanza Kwa Kinana kusema haya au kuja na mawazo mbadala.View attachment 2730746
Dubai - DP WORLD waanza kuchanganya watu huku..
Hebu mtazame na msikilize mwenyewe.
Bila shaka Mungu wetu amesikia maombi yetu
Mnara wa Babeli unaanza kuanguka. Tuendelee kuombea anguko kamili (total & complete fall) la utawala huu wenye roho ya kishetani chini ya CCM
Kwani hii ilikuwa lini?View attachment 2730746
Dubai - DP WORLD waanza kuchanganya watu huku..
Hebu mtazame na msikilize mwenyewe.
Bila shaka Mungu wetu amesikia maombi yetu
Mnara wa Babeli unaanza kuanguka. Tuendelee kuombea anguko kamili (total & complete fall) la utawala huu wenye roho ya kishetani chini ya CCM
ndg. yangu usihadikie kirahisi na viongozi wa ccm. hizi zote ni drama tu za kucheza na akili ya watz.View attachment 2730746
Dubai - DP WORLD waanza kuchanganya watu huku..
Hebu mtazame na msikilize mwenyewe.
Bila shaka Mungu wetu amesikia maombi yetu
Mnara wa Babeli unaanza kuanguka. Tuendelee kuombea anguko kamili (total & complete fall) la utawala huu wenye roho ya kishetani chini ya CCM
Faiza fox aione kwenye failiSio mara ya kwanza Kwa Kinana kusema haya au kuja na mawazo mbadala.
Kinana anajua Uhai wa ccm ni kuisimamia Serikali na si vinginevyo na ikiwa hivi ndio tutapata siasa shindani kama ilivyo Kwa Democrats na Republican.
Ni ujinga Kwa viongozi wa ccm Kuunga mkono Kila kitu Cha Serikali harafu Serikali wakibanwa wao wanajiweka pembeni huu ni upuuzi.
Kwa staili hii Kinana atarudisha Imani ya Wananchi Kwa ccm.
Mwisho Rais amrudishe yule dogo DC comrede Ili Wakiwa na Kinana wanaweza kuhimili majukwaa Kwa sababu wanauwezo wa ushawishi hasa zama hizi ambazo Mwenyekiti wao sio muongeaji.
Una akili SanaaWana tuset mbwa hawa
Hiyo inaitwa turning point.Dubai - DP WORLD waanza kuchanganya watu huku..
Hebu mtazame na msikilize mwenyewe.
Bila shaka Mungu wetu amesikia maombi yetu
Mnara wa Babeli unaanza kuanguka. Tuendelee kuombea anguko kamili (total & complete fall) la utawala huu wenye roho ya kishetani chini ya CCM
Dubai - DP WORLD waanza kuchanganya watu huku..
Hebu mtazame na msikilize mwenyewe.
Bila shaka Mungu wetu amesikia maombi yetu
Mnara wa Babeli unaanza kuanguka. Tuendelee kuombea anguko kamili (total & complete fall) la utawala huu wenye roho ya kishetani chini ya CCM
Acha upotoshaji wewe The Palm BeachUle usemi wa "nyani haoni kundule" umedhihirika pale Katibu Mkuu wa CCM, Abdallahaman Kinana alipowachana wanachama wa CCM katika mkutano alioufanya hapo jana mjini Kigoma kwa kuwaambia wanachama wa chama hicho waache kupendeleana wala kubebana kwani kwa kufanya hivyo tutazalisha makundi mengi ndani ya chama hicho, kitu ambacho sio afya kwa chama na pia kwa kufanya hivyo kunaweza kuchangia kuchukiwa kwa chama na kupelekea upinzani kupata nguvu!
Kinana anasahau kuwa ndani ya chama hicho (hasa ngazi ya juu) wamekuwa wakibebana na kupendeleana hasa pale ambapo kumekuwa kukifanyika madudu ya kukichafua na kukipaka matope chama. Rejea orodha ya mafisadi iliyotajwa na CCM, Rejea orodha ya mawaziri mizigo iliyotajwa na Kinana mwenyewe, n.k. Ni hatua gani madhubuti zilizochukuliwa na chama kwa watu hao? Huko sio kubebana? Huko sio kupendeleana?
Kauli hii ya Kinana ya "Tusipendeleane, Tusibebane" inaonesha kana kwamba CCM inatufanyia usanii.
Acha upotoshaji wewe The Palm BeachUle usemi wa "nyani haoni kundule" umedhihirika pale Katibu Mkuu wa CCM, Abdallahaman Kinana alipowachana wanachama wa CCM katika mkutano alioufanya hapo jana mjini Kigoma kwa kuwaambia wanachama wa chama hicho waache kupendeleana wala kubebana kwani kwa kufanya hivyo tutazalisha makundi mengi ndani ya chama hicho, kitu ambacho sio afya kwa chama na pia kwa kufanya hivyo kunaweza kuchangia kuchukiwa kwa chama na kupelekea upinzani kupata nguvu!
Kinana anasahau kuwa ndani ya chama hicho (hasa ngazi ya juu) wamekuwa wakibebana na kupendeleana hasa pale ambapo kumekuwa kukifanyika madudu ya kukichafua na kukipaka matope chama. Rejea orodha ya mafisadi iliyotajwa na CCM, Rejea orodha ya mawaziri mizigo iliyotajwa na Kinana mwenyewe, n.k. Ni hatua gani madhubuti zilizochukuliwa na chama kwa watu hao? Huko sio kubebana? Huko sio kupendeleana?
Kauli hii ya Kinana ya "Tusipendeleane, Tusibebane" inaonesha kana kwamba CCM inatufanyia usanii.