Kinana: Wasimamizi wa Uchaguzi watakuwa Waadilifu na Waaminifu mnataka nini tena?

Kinana: Wasimamizi wa Uchaguzi watakuwa Waadilifu na Waaminifu mnataka nini tena?

Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.

"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana

Nini maoni yako?
Huyo kinana mwenyewe ni mudilifu?
 
Mimi ninaamini wakati huu wapinzani wengi wataingia wengi Mjengoni uzuri Mama na Kinana ni design ya JK ni watu wenye kuamini kwenye Demokrasia angalau ni nafuu kuliko Mzee Magufuli. kipindi chao na JK wapinzani walifikia 100. Tumwamini.
 
Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.

"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana

Nini maoni yako?
Ni lini walisemaga inaweza kuwa na watu sio waadilifu 😅😅🙏
Ni nani anayeweza kuukata mkono unaomlisha ??😅😅🙏🙏
 
Huyu Kinana kauli ya CDF kuhusu uwepo wa viongozi wakimbizi ina muwashawasha.
Nakumbuka wakati fulani uliibuka utata wa uraia wake,hali ilikuwa tete hadi akawatumia maofisa wasiokuwa waaminifu pale Uhamiaji wakaiba faili la baba yake kupoteza ushahidi
 
Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.

"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana

Nini maoni yako?
Tanzania hatuna BUNGE tun Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM ndani ya Jengo la Bunge

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Yaani Kinana anaamini kuwa Bado Kuna mtu anayejitambua ataweza kuamini asemacho? Hatuwezi kulala mara 2, enough is enough. Tunataka tume huru ya uchaguzi na sio kuambiwa na ccm tume itakuwa huru.
 
Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.

"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana

Nini maoni yako?
Nani kamuuliza? Yaani timu zinacheza ligi moja halafu atokee mtu kutoka mojawapo ya timu hizo azungumzie uadilifu wa refa na kamisaa wa mchezo huo! Anawaonaje wapigakura?
Kwa mtazamo wa ndani kabisa kwenye kauli yake ni Kama anawaandaa wapinzani kushindwa kabla ya mchezo na wakubali tu kirahisirahisi hivi kwa kuwa tume Ina watu waadilifu! Hadaa tupu.
 
IMG_5272.jpg
 
Huo uadilifu huo[emoji23][emoji23][emoji23] ina maana watoto wake hawaja muambia kilichotokea leo Arusha(Elerai) halafu ni wenyewe kwa wenyewe maana hakukuwa na chama kingine.
 
Usijsahau kufanya kazi kwa bidii somesha familia yk vzr vyngnevo utabwabwajatu hakuna atokuelewa
Kama Rais/uchaguzi ni mbovu hivyo vyote ni kazi bure hata ufanye kazi vp maisha yako hayatainuka hata mara moja, na kama mpaka leo haujui umuhimu wa Rais/ uchaguzi katka maisha yako basi jua kuwa haujajitambua bado.
 
Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.

"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana

Nini maoni yako?
Wakati anaongoza ile ofisi masaki 2015 viongozi wa Tume hawakuwa waadilifu ?
 
Ccm bana kinana anasema wasimamizi watakuwa waminifu?. Kumbe wale wakurugenzi tulio aminishwa kuwa ni waaminifu walikuwa wezi. Basi tunaomba atueleze walivyo tuibia
Mpaka Magufuri alikuwa mwizi wa kula, yeye ndio mpanga safu ya wezi wa tume. Kafa lakini sifa yake apewe. Apatiwe tuzo yake kwa uchaguzi ule.
 
Back
Top Bottom