Kinana: Wasimamizi wa Uchaguzi watakuwa Waadilifu na Waaminifu mnataka nini tena?

Kinana: Wasimamizi wa Uchaguzi watakuwa Waadilifu na Waaminifu mnataka nini tena?

Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.

"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana

Nini maoni yako?
Kauli hii inaashiria wazi kuwa nchi haijawahi kuwa na wasimamizi uchaguzi waaminifu wenye maadili...

Kauli zao zinawaumbua sana sasa
 
CHADEMA hawajui wanachotaka. CCM imesharidhia kuweka wasimamizi waadilifu na waaminifu ila wao bado watapinga.. inashangaza sana..
 
Kama Kinana anaona kusema tuu watakuwa waadilifu na waaminifu inatosha, basi Wawahachie wapinzani wawachangue hao wasimamizi waadilifu na waaminifu... CCM wao wasubiri tuu kwamba wapinzani watachangua watu waadilifu na waaminifu.
Sijui kama watakuwa tayari kwa hili. Kama hawatakibali basi ajue ndio hivyo hivyo kwa upande mwingine...
 
Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.

"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana

Nini maoni yako?
Yani kinana kaongea pumba Sana. Eti Viongozi wa serikali waandamizi. Yani Hawa Viongozi wenye madudu kwenye Ziara ya Bashite? Au watashuka kutoka Mars? Aache ujinga
 
CHADEMA hawajui wanachotaka. CCM imesharidhia kuweka wasimamizi waadilifu na waaminifu ila wao bado watapinga.. inashangaza sana..
Umeshasema CCM wamesharidhia kuwaweka wasimamizi waadilifu huoni unajichanganya?. Halafu usipende kuitaja CHADEMA bila sababu ya msingi.
 
Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.

"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana

Nini maoni yako?
Hawa wateuliwa wa Rais wanaopokea maelekezo kutoka kwa RCs na DCs, huyu mzee kwanza ana maliza tembo wetu
 
Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.

"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana

Nini maoni yako?
Kwa maana hiyo CCM ndiyo iliyoamua nani awe msimamizi wa uchaguzi. Kinana kajuaje uadilifu wao?
 
Kuna haja kwa kipindi hiki kuangalia katiba zetu upya

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hairuhusu Rais aliyopo madarakani au kustaafu kushtakiwa kwa kosa lolote lile

Je siku akitokea Mzanzibar akawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa makusudi ya kulindwa kisheria na kikatiba akawa anatapanya rasilimali za Tanganyika kwa maslahi yake au kwa maslahi ya kikundi fulani kilichopo Zanzibar jiulize nani wa kutetea au kuzilinda mali za Tanganyika?

Zanzibar wana serikali yao inayolinda mali na rasilimali za Zanzibar je Mali za Tanganyika zinalindwa na nani?
 
CHADEMA hawajui wanachotaka. CCM imesharidhia kuweka wasimamizi waadilifu na waaminifu ila wao bado watapinga.. inashangaza sana..
Kwa kauli yako hii unathibitishia umma kuwa Chaguzi zilizopita mliiba kupitia wasimamizi ambao hawakuwa waaminifu na waadilifu!?? Si walikuwa watumishi !?? Au mliwatoa jalalani!!
 
Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.

"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana

Nini maoni yako?
KWANINI WAWE WAKURUGENZI AMBAO NI WATEULE WA MGOMBEA URAIS WA CCM ?KUNA WENGINE NI VIONGOZI WA CCM
MAGUFULI AKIWA MWENYEKITI WA CCM ALITAMKA KUWA "MKURUGENZI ATAKAYEMTANGAZA MPINZANI KTK JIMBO LAKE KAZI HANA" KWA SABABU ANAMLIPA MSHAHARA NA GARI LA KAZI KAMPATIA
 
Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.

"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana

Nini maoni yako?
Ni aibu sana Mtu Mzee kama Kinana kuongea Uongo hadharani

Hivi kwa sheria hizi kuna uadilifu gani?

Screenshot_2024-05-05-14-01-34-1.png
 
Hata JIWE alisemaga hivyo hivyo..tunataka KATIBA BORA na Tume huru kweli kweli sio huu USANII
 
Back
Top Bottom