Kauli hii inaashiria wazi kuwa nchi haijawahi kuwa na wasimamizi uchaguzi waaminifu wenye maadili...Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.
"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana
Nini maoni yako?
Yani kinana kaongea pumba Sana. Eti Viongozi wa serikali waandamizi. Yani Hawa Viongozi wenye madudu kwenye Ziara ya Bashite? Au watashuka kutoka Mars? Aache ujingaAbdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.
"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana
Nini maoni yako?
Umeshasema CCM wamesharidhia kuwaweka wasimamizi waadilifu huoni unajichanganya?. Halafu usipende kuitaja CHADEMA bila sababu ya msingi.CHADEMA hawajui wanachotaka. CCM imesharidhia kuweka wasimamizi waadilifu na waaminifu ila wao bado watapinga.. inashangaza sana..
Hawa wateuliwa wa Rais wanaopokea maelekezo kutoka kwa RCs na DCs, huyu mzee kwanza ana maliza tembo wetuAbdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.
"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana
Nini maoni yako?
Kaa kimya economist uchwaraUmeshasema CCM wamesharidhia kuwaweka wasimamizi waadilifu huoni unajichanganya?. Halafu usipende kuitaja CHADEMA bila sababu ya msingi.
Kwa maana hiyo CCM ndiyo iliyoamua nani awe msimamizi wa uchaguzi. Kinana kajuaje uadilifu wao?Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.
"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana
Nini maoni yako?
Kwa kauli yako hii unathibitishia umma kuwa Chaguzi zilizopita mliiba kupitia wasimamizi ambao hawakuwa waaminifu na waadilifu!?? Si walikuwa watumishi !?? Au mliwatoa jalalani!!CHADEMA hawajui wanachotaka. CCM imesharidhia kuweka wasimamizi waadilifu na waaminifu ila wao bado watapinga.. inashangaza sana..
KWANINI WAWE WAKURUGENZI AMBAO NI WATEULE WA MGOMBEA URAIS WA CCM ?KUNA WENGINE NI VIONGOZI WA CCMAbdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.
"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana
Nini maoni yako?
Ni aibu sana Mtu Mzee kama Kinana kuongea Uongo hadharaniAbdulrahman Kinana amesema Uchaguzi ujao utakuwa wa haki kwani wasimamizi watakuwa Waadilifu na Waaminifu.
"Bunge limekubali (Bunge la Tanzania) limesema wasimamizi wa uchaguzi watakuwa watumishi wa umma waandamizi. Mtu atateuliwa kwa sifa; sifa za uadilifu, uhodari wa kazi na uaminifu. Mnataka nini tena? Tume itapata fedha kutoka kwenye mfuko mkuu wa Serikali."-Abdulrahman Kinana
Nini maoni yako?