Tetesi: Kinara wa kukwamisha Rais Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM ni Rajab Luhwavi, NKM CCM Bara

Status
Not open for further replies.
Kama hali iko hivyo basi futeni kesi ya Gwajima,maana alichosema hakina tofauti sana na hiki.Vinginevyo ccm kinabaki kuwa chama chenye wanafiki wengi.
Gwajima alikuwa anamshambulia rais mstaafu, siyo Luhwavi
 
Wakati wa kampeni alisisitiza "chagua mimi na serikali ya mimi itakuwa so and so" sasa chama alichokiweka pembeni leo anakitaka kwa hamu awe mkulu mpaka wanatumika wakina Bulembo na Lizaboni kushinikiza lazima awe yeye mwenye kigoda.
Bahati mbaya wale aliokuwa anawadharau Leo ndio wameshika mpini na asipoangalia JK akisema tuu kura ni za siri basi amejitahidi sana ni 37% na hiyo ndio aibu.
NKM msidhani ni yeye mwenyewe, katumwa na vigogo ajifunge bomu na moto tutauona.
Kweli "waacheni wafu wazikane" ilikuwa kauli iliyofanyiwa utafiti
 
Inashangaza sana mnaolia ni UKAWA, ni mwenyekiti wa CCM siyo UKAWA. Tulizeni mizuka.
 
Nilipoona N*pe anabwaga manyanga mapema nilijua ujio wa Magufuli hapo Lumumba ni tishio na nilitegemea sarakasi kama hizi.BTW chama chetu kina utamaduni na kwa desturi hizo uenyekiti kwa Magufuli ni jambo la LAZIMA si kuviziana na kubembelezana.
 
Huyu jamaa anatakuwa na maslai ya kifasadi au atakuwa na genge la wahuni anawalinda! Achunguzwe na ikibainika awe wa kwanza kuswekwa ndani ya magereza ya mafisadi inayotarajiwa kujengwa ktk ya ziwa victoria!
 
Inashangaza sana mnaolia ni UKAWA, ni mwenyekiti wa CCM siyo UKAWA. Tulizeni mizuka.
Mbona sie ndio waumini wa Mzee wa mizuka ndio akamate manyanga ili hicho kikundi aka chama akipelekeshe kama makuruta wa Ruvu JKT mpaka wasambaratike!
Hakuna chama chochote cha SIASA duniani kiliwahi kupelekwa kijeshi kikabaki kuwa chama tena. Chama ni hiari na maridhiano ndani ya vikao. Tumbuatumbua ni serikali tuu
 
Mkuu kwani hofu yenu JPM akiwa mwenyekiti wa CCM, CHAGADEMA mtasambaratika? Chagadema mtaendelea kuwepo ila kama misukule, Mtei na Mkwe wake wataendelea kuiongoza SACCOSS
kwani Luwhavi ni CHADEMA?....sisi hatuna shida na hilo lichama lenu ambalo ni li scraper sasaivi...wafu mzikane tu
 
Kama unayo zungumza ni ya kweli yanaendana na yale aliyo Sema bishop gwajima, kwa nini gwajima anashutumiwa kw uchochezi?
kw nini na wewe usiwajibike kw hili?
 
hahahahaaa kuna vitu huwa nacheka sana nikisikia maana najifunza kitu kama watu wanafuja fedha za sirikali hadi wanakuja kufuja na chama basi muda si mrefu tutasikia mtu analaumiwa kufuja hadi za familia yake mweeeh

me dont.......
 
Tar 23 July lazima watu watoane meno ya sebuleni Dodoma
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…