Tetesi: Kinara wa kukwamisha Rais Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM ni Rajab Luhwavi, NKM CCM Bara

Status
Not open for further replies.
Wewe huyo huyo uliwahi kupinga kwamba hakuna kitu kama hicho, sasa unatuletea hii taarifa ili tufanye nini?
Huyo ndiyo Lizaboni. One who can never be trusted. Baada ya kukosa kila mahali sasa anatafuta kiki kwenye chama chao. Amazing.
 
Huyu jamaa anatakuwa na maslai ya kifasadi au atakuwa na genge la wahuni anawalinda! Achunguzwe na ikibainika awe wa kwanza kuswekwa ndani ya magereza ya mafisadi inayotarajiwa kujengwa ktk ya ziwa victoria!
Anatofauti na Magufuli si ndio fasheni ya CCM
 
kiujumla kumuachia jpm uenyekiti wa ccm ni kwa wanaccm imani kukosa ujasiri wa kutetea chama chao. lakini wangelikuwa majasiri wasingelikubali kamwe...
 
Wafu wanazikana. Sisi wengine inatuhusu nini?
 
Tarehe 23 July 2016 watu watatoana macho kwa kugombea vyeo haaa haaa.
 
Lizaboni,nilitaka kujua aliyerithi mikoba ya ukwasi wa Lowassa na kuanza kugawa fedha. Anatoa wapi hizo fedha za kuwagawia wajumbe.
 


Maneno yako ndio alitabiri Gwajima! Leo umeongea mCCM kumbe yalikuwa na ukweli baadhi ya Maneno ya Gwajima!
 

Mbona kiila uchanguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA unapofika wagombea wengine huzuiwa ili Mbowe pekee agombee bila kupingwa?
 
Hahahahahaaaaaaa! Ni kazi ya mikono yangu hiyo Mkuu. Hutapata mahala pengine nje ya hapa JF. Lizaboni ni wa level nyingine Mkuu
Hivi sheria ya mtandao haifanyi kazi hapa ................!!

Hii kitu ingetolewa na Yericko, nafikiri tungesikia mengine ................!! Uchochezi, uongo n.k.
 
Ukiyafuatilia sana yanayoendelea ndani ya CCM utachoka mwenyewe. Kila mmoja amejitia msemaji na mchunguzi ndani ya chama. Leo unaongea hiki kesho unaongea kile ili mradi uonekane unaijua ccm nje ndani. Huo ni wakati wakukipigania chama kuanika kinachoendelea ndani yaCCM nikuwataka wengine waitumie hiyo kama silaha kuendelea kutengeneza makundi. Jifunze kile ulichokisoma pale Kivukoni Lizaboni
 
Gwajima ni zaidi ya Intelejensia
 
Mnajitia moyo wakati mnajua ukweli kuwa sasa ccm ni vipande vipande tu
 
Mimi naendelea kusubiri update mkuu @Lizabon, habari zako Mara huwa zina chembechembe za ukweli ndani yake.!
 

dhidi ya UKAWA mnalo jeshi la polisi linawasaidia.

sasa hapa wenyewe kwa wenyewe..msaada utatoka wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…