Tetesi: Kinara wa kukwamisha Rais Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM ni Rajab Luhwavi, NKM CCM Bara

Status
Not open for further replies.
Tangu nimejiunga humu sijawahi kuona kaka Mkubwa lizaboni akisema uongo... Hebu tusubirie
 
Lini fomu za uchaguzi wa Mwenyekiti zitatolewa CCM ? Kabla ya kumhukumu Luhwavi
 
CCM bana, yaani hakuna anaemuamini mwenzake aisee! Na kama msipokua makina mtaingia kusiko muda sio mrefu. Kuna watu walitafuna zile shule za jumuiya ya wazazi, wakikumbuka tar 23 ni tumbo la kuhara ghafla.
Btw, wezi wote na wahujum uchumi wapo ccm na ndo ndo JPM aliowasema kua "nchi imefika ilipo kwa sababu ya majizi"

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Acheni uzoefu uchukue nafasi ukipewa urais na uwenyekiti wa chama unapewa mbona ni kawaida tuu au ni huo mwendo kasi unawatisha wala msiwe na wasiwasi mtauweza tuu.
 
Lizabon kwani huyo Mzee kakukosea nini? au kakosana na boss zako maana haya mawe uliyomtumia yamejaa chuki kubwa
 
Kwa staili ile ile...kukiwa na issue nyumbani anakula kona...katafuna kona nyingine nimesikia...yuko kusini.
 
Endeleeni kuparurana tu
 
Kumekucha.
Bundi wa Mwendo kasi azidi kutamalaki Lumumba kwa Madoido kabisa.
Hiyo siku ya kikao watatafunana wenyewe kwa wenyewe sie yetu macho halafu polisi watueleze kama intelejensia yao fake haikuiona hii dalili ya fujo au ipo kwa ajili ya wapinzani
 
Lizabon haaminiki haeleweki anasaka madaraka kwa gharama yoyote
Mi namshangaa kwa fitina na majungu anayoeneza humu. huyu anategemea kufaidika kwa figisufigusu la tarehe 23. Kwanza njo huku kwenye kampeni ya sirro tukuulize vizr
 
Jk nijuavyo mm ni master wa siasa above all in Tanzania watch this space
 
Ni kawaida kwa wana ccm kuchafuana kila kunapokaribia mkutano mkuu Vita ya sasa ni ukatibu mkuu Na siyo uenyekiti sasa wanatumia kila mbinu kuchafuana msishangae mpaka 23 watu kuita press Na kuanza kusemana bila uoga kuwa mwanachama Wa ccm lazima mishipa ya aibu ikutoke na huu ndio msimu Wa ela kwa wale vijana watukana watu
 
Kama kina lizabon. Amejipanga kupiga hela kwenye figisufigisu hili analoandaa
 
Kama kina lizabon. Amejipanga kupiga hela kwenye figisufigisu hili analoandaa
Mkuu 2020 ni mbali wanapambana watu wao wawe Na vyeo katika chama ili wapate Kula usishangae wakijifanya wehu kutukana watu na viongozi wao
 
Lizaboni wewe lini umeanza kuhubiri siasa za woga namna hii?
Team JPM mna shida sana, inaonesha uwezo wenu wa kujiamini ni mdogo mno, hamuwezi kutangaza sera kwa intimidation! Bungeni kuna mtu anatishia watu, mtaani watu wanaogopa na chamani kote mnaishi kwa kutishana, kubaguana na kulumbana bila ya sababu za msingi!
Just imagine, mtu kasema jamaa hafai, ktk siasa kinachofuata ni wewe kumuita mchawi! JPM afight back kwa kunadikunadi mikakati yake, haiingii akilini huku mnahubiri awamu hii hakuna kubebwa huku nyinyi mkitaka mbebwe!
Hongera zake huyo Naibu katibu anayechallenge nafasi ya mwenyekiti! Ningemshauri next move aweke bayana kuwa yeye anataka kumchallenge JPM ktk nafasi hiyo, sio lazima JK aendelee kuwa mwenyekiti!
Binafsi si mchukii JPM Ila penye mapungufu aambiwe na tunapoona anafaa tuseme! Nchi haiwezi kungia wazimu wa kuimba na kusifu kila kitu hata kama tukidhani sio sifa stahili!
Please acheni kusema watu vibaya au umetumwa?
 
Ni sawa na kudhani unaweza toa CPU bado ukatumia computer. Hoja inaweza kuwa na ukweli lakini its not handled careful.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…