Tetesi: Kinara wa kukwamisha Rais Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM ni Rajab Luhwavi, NKM CCM Bara

Status
Not open for further replies.
Mwaka huu lazima mlogane kudadeki ! Imeamriwa kura ni siri , na uhakika ni kwamba 80% ni kura za hapana , 10% ndiyo na 10% za maruhani !
Wanajidanganya hao,hivi unafikiri kuna panya anaweza kumzuia JPM,hvyo vikao vyao hata wakafanye chooni watajulikana tu,kama mamvi alishughulikiwa hyo lukaku sijui ni Mdgo sana,muacheni JPM arekebishe chama.
 
JK huwa anawajua sana wajinga wajinga kama Luhwavi. Kinachokwenda kumkita Luhwavi hakina tofauti na kilichomkuta Lowassa. JK anatumia taaluma aliyoipata jeshini kuwaangamiza maadui wa CCM.
Mnamnyanyasa Luhwavi kisa ni mzanzibar
 
Mkuu Lizaboni unataka kuaminisha umma wa JF kuwa wewe ni mwandishi ambaye ni Neutral Ground? kwamba hata za ndani kwako unawapakulia umma wa JF? Au kuna kitu unanyemelea kwa mkuu wa kaya.
 
Hahahahahaaaaa! Mkuu, nimekupata. Ndio maana nimemalizia kwa kuwashukuru wajumbe wote wa Mkutano Mkuu kwenye mikoa niliyoorodhesha ambao wamenipa support ya kutosha. Sikuweza kutaja mmoja mmoja kwa vile nitajaza server maana ni wengi
Na si busara kutaja chanzo cha kupatia taarifa
 
hakuna mtu mshenzi kama huyo Rajab Luhavi.
hajielewi kabisa.
kwenye mchakato wa uchaguzi majimboni kuna rafu zilikua zinachezwa tunampigia sm kumjuza anasema haimuhusu. yaani ni mpuuzi wa kiwango cha phd. ngoja Ngosha aje kumnyoosha.

ivi ni mswahi wa wapi vile?
 
Wanajidanganya hao,hivi unafikiri kuna panya anaweza kumzuia JPM,hvyo vikao vyao hata wakafanye chooni watajulikana tu,kama mamvi alishughulikiwa hyo lukaku sijui ni Mdgo sana,muacheni JPM arekebishe chama.
Na Magu atawanyoosha sana. Kikwete aliambiwa awashughulikie waliokisaliti chama. Mpaka sasa kimyaaaa. Subiri Magu akae kwenye kiti
 
Ewee mwenyezimungu kiharakishe kife cha CCM,kwani ameshaugua muda mrefu bila kupata nafuu ewe mwenyezimungu ipokee dua yangu "AMEN"
Maombi ya kutaka CCM ife yalifanywa na:
1. Kakobe
2. Mwingira
3. Gwajima
4. Mtikila

wewe cheo chako kwenye dini ni kipi? Maana hao maombi yao hayajasikilizwa
 
chama kipya hicho kimezaliwa?nawaona mmeshaanza kugawanyika ndo mwisho wenu umeshakaribia
Chama kimezaliwa upya. Wasaliti wanapaswa kwenda kutafuta maficho yao CHADEMA
 
Duh! Mkuu! Mbona umeenda mbali sana?

Nisipokutania Wewe Mwana CCM mwenzangu tuliyepambana humu na " Nyumbu " wakati wa KAMPENI mwaka jana hadi Mpendwa wetu Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akashinda Urais nitamtania nani Mkuu? Hata siku moja sitoweza " kukuvunjia " heshima humu na nakuomba tu kuwa na AMANI kabisa na Mimi kwani NAKUKUBALI pengine kuliko unavyodhani au unavyonihisi. Hivi ninaanzaje " kumchukia " au kumpiga " dongo " mwana CCM mwenzangu tena ALIYETUKUKA kama Wewe? Tupo " pamoko " Mkuu ondoa shaka.
 
Ningekuwa mimi ndo Luhwavi, hakika ningejiuzulu kabla ya Julai 23
 
Hahahahahaaaaa! Ni ekupata Mkuu. Unanikumbusha enzi zile kwenye story za akina Jimmy Apson Mwang'onda. Ulinieleza mambo mengi sana mkiwa mnasoma pale Shule ya Msingi Mbuyuni. Hakika wewe ni wa next level
 
Nilijua tu watetezi wa Luhwavi mtaingia kichwa kichwa. Mmeshagundulika na mkakati wenu hautafanikiwa
Endelea kubinuwa makalio tunakwambia Magufuli sio Mwenyekiti material akae na uraisi chama hapaswi kuwa kwa sababu hakuna siasa mpaka 2020 wewe lilia mkate wako ndio akili yako uliyonayo kujikomba kubeba wanaume kuwafuta viatu huna lingine yaani kibanadamu wewe ni maiti
 

Ndugu yangu Lizaboni mbona hii kitu ulikataa kata kata hakuna leo unamtwisha zigo Rajabu kwakuwa si team Majipu.
 
Utakufa wewe utaacha CCM
Lizaboni jambo usilolojua ni kwamba CCM ni kama nyati aliepigwa risasi kadhaa (ndio haya matukio yote)na UKAWA.Kilichopo sasa hivi ni mwindaji UKAWA anafuatilia matone ya damu ajichinjie mzoga wake.Ni suala zima la timing tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…