Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Unhamia wapi mkuu wakati ccm ndio kila kitu?NIMEJITOA CCM KWA MUDA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unhamia wapi mkuu wakati ccm ndio kila kitu?NIMEJITOA CCM KWA MUDA
Bundi yupo lumumba na sasa ameshaanza kutaga mayai,ni hatari sanaUnaboa,so ushasema kagonga mwamba ?
Mkuu huyo lizaboni ni mwana lumumba, mbona mnpingana tena?au ndiyo hasira za kutemwa kwenye teuzi?Hivi sheria ya mtandao haifanyi kazi hapa ................!!
Hii kitu ingetolewa na Yericko, nafikiri tungesikia mengine ................!! Uchochezi, uongo n.k.
Kwahiyo uchaguzi wa mwenyekiti wa ccm mmeshaanza kutoa fomu za wagombea wa hiyo nafasi?Mbona kiila uchanguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA unapofika wagombea wengine huzuiwa ili Mbowe pekee agombee bila kupingwa?
Walio mkashifu Gwajima inabidi wamuombe radhiManeno yako ndio alitabiri Gwajima! Leo umeongea mCCM kumbe yalikuwa na ukweli baadhi ya Maneno ya Gwajima!
Mkuu mbona uko nje ya mada?
Anaongozwa na njaa tuHuyo ndiyo Lizaboni. One who can never be trusted. Baada ya kukosa kila mahali sasa anatafuta kiki kwenye chama chao. Amazing.
Tangu lini nimekuwa wa Lumumba ................!!Mkuu huyo lizaboni ni mwana lumumba, mbona mnpingana tena?au ndiyo hasira za kutemwa kwenye teuzi?
Habari za lizabon sijawahi kuziamin napita sitii neno
Kwahiyo uchaguzi wa mwenyekiti wa ccm mmeshaanza kutoa fomu za wagombea wa hiyo nafasi?
Mkuu naomba unisamehe naona nilichanganya mada plsTangu lini nimekuwa wa Lumumba ................!!
Ccm vipande vipande sasa,adui muombee njaaaahavari za lizabon sijawahi kuzitilia mashaka labda wew ni mgeni hapa jf
Jibu swali kwanza wacha kumbwelambwelaMbowe huwa anapingwa?