Kinara wa upinzani Tanzania akamatwa kwa tuhuma za madawa

Kinara wa upinzani Tanzania akamatwa kwa tuhuma za madawa

do u think hatujui? nafurah kwamba umekir mlitoka huku huko miaka hio uliyotaja. then unatakiwa ujue pia gharama mliyotoa kufikia apo mlipofikia. ok unaweza kujisifu lakini usisahau ma elfu ya ndugu zako waliokufa na last month nilitazama t.v ynu K24 ilionyesha wapo ndugu zako wengi sana wanaish kama wakimbiz huko kenya hawana makazi kwa sbu ya vita ileee. so kuwa proud bt never 4get. ss wabongo hatutaki itokee hio...tutachelewa lakin tutafika kwa amani kama tulivyopata uhuru wetu. hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. na naona unafuatilia siasa zetu thats gud na kama ni mfuatiliaj mzur utajua tunakoelekea ni kuzuri kuliko tulikotoka. sababu pamoja na ubabe wote wa magu na wenzake lakin still watu hatujaacha ku fight.

Ghasia za baada ya uchaguzi ni donda sugu na kwa kweli ni aibu Kenya, lakini taratibu tunarekebisha. Hakuna binadamu hupenda vurugu au fujo, hayo mambo hutokea pale maelewano yanakosekana.
Kila siku tunapiga hatua kama nchi maana tumetoka mbali, mzungu alitukung'uta na hakuachia nchi kiulaini kama kwenu, tulimvumilia na pamoja tumeendelea kuboresha.

Vurugu baina ya jamii sio kitu cha nyie kutuchekea kila mara, maana ni jambo la kawaida dunia yote, hata huko Tanzania nimeona jamii za wafugaji wakiwatesa wakulima halafu vita vinaibuka. Raslimali ndio huwa chanzo cha matatizo baina ya jamii.
 
😀😀😀!..Upo sahihi mkuu!,bila shaka.
Lakini si unaelewa nyani ni nyani tu, hata ukimtoa mwituni na kumpeleka mjini atabakia hivyo tu mathalan ni hayawani!
Hata hivyo, hapo pekundu rekebisha.
Ulipaswa kuandika "kurithi"na sio "kuriDHI"

Hehehe siunajua tena sisi wa kule mlimani "dhi" na "thi" huwa changamoto kutofautisha.
 
Hehehe siunajua tena sisi wa kule mlimani "dhi" na "thi" huwa changamoto kutofautisha.
Hata ukiandika URITHI bado utaishia kutamka URIDHI. 😀😀😀 [HASHTAG]#GikuyuFactor[/HASHTAG]
 
Yes I am Kenyan. And tribal and ethnic hate is not exclusive to Kenya. It is everywhere in the world. Ata Tanzania, later on some tribes will feel marginalized and it will lead to hate. Shida ya Kenya ni ati Kikuyus own a lot of things, some acquired in bad means na others earned in good ways. So utapata on average they are richer than other communities, sijasema hakuna wakikuyu maskini. Wako tena wengi. But on average they are better of than most Kenyans. Other Kenyans think they are better of because wamekuwa na the top job for a long time. Which leads to hate, like we saw in 2007. With all this hate, utapata they manipulate elections kwa sababu ya uoga. Na kuongea ukweli Kenya is a ticking bomb, hope the day a non Kikuyu gets the top job hakutakuwa na chaos.

Bro, people are simply working hard, nothing like Kenyatta helping anyone. Those people on top only manages to help a small percentage of their own circle.

People have been brainwashed to think Kikuyus gets it easy simply because the president is from Central, but believe me, we work our asses off day and night. The Kikuyus running businesses all over Tanzania, Rwanda, Zambia, Malawi and so on have no presidents there helping them.
 
Bro, people are simply working hard, nothing like Kenyatta helping anyone. Those people on top only manages to help a small percentage of their own circle.

People have been brainwashed to think Kikuyus gets it easy simply because the president is from Central, but believe me, we work our asses off day and night. The Kikuyus running businesses all over Tanzania, Rwanda, Zambia, Malawi and so on have no presidents there helping them.
Sad other Kenyans dont want to acknowledge that. Tbh the Kikuyus should not vie for the top seat for like 20 years. So that others can understand that top seat does not help you, your hard work does
 
Ndio hatujafika, tunayo safar tena ndefu, lakini hatupo kwenye level moja na nyie hapo. Kila nikiangalia siasa za Bongo hunikumbusha jinsi siasa za Kenya zilivyokua miaka ya themanini. Niliona kwenu eti viongozi wa upanzani wanazuiwa hata kutoa misaada kwa wahanga wa tetemeko la ardhi, wamekatazwa hata kukusanyika kwenye mikutano eti mnaambiwa kampeni na siasa ziliisha.
Wabunge akina Lissu na Lema wanakamatwa kamatwa kisa wametaja rais, Lema yule wa Arusha anaozea jela kisa alisema ameota ndoto kuhusu rais. Mchakato wa katiba mpya mlitupa kuleee, sisi leo tunatamba na katiba mpya.

Nakubali kwetu tuna matatizo ya ukabila hususan kwenye siasa, lakini hamna nchi yoyote ukanda wote huu ambao imeweza kufikia level ya ukomavu wa demokrasia kwetu. Marais wetu wanaingia kwa kuchaguliwa na watu, sio kama hapo kwenu kiongozi akipata tiketi ya CCM, basi automatically yeye ndiye rais, uchaguzi mtafanya wa kuzuga tu ilmradi muonekane na wafadhili kwamba na nyie mpo.
Mkuu mimi nna wasi wasi wewe sio mkenya bali ni mbongo, yaani mambo yanayohusu Tanzania unayajua kiundani haswa, au muda mwingi unaishi Tanzania?

BTW hayo mambo yaliyomo kwenye hili bandiko lako ni ukweli mtupu na atakaepinga uzalendo uchwara una msumbua.
 
Funga kibakuli chako, uloambiwa ni ukweli ulio wazi na husio pingika.
Tatizo lenyu hamtaki kuambiwa ukweli na mtabaki hapo hapo mlipo ,nyie bado sana katika demokrasia.

Kalb wahed!
Mbona povu dogo? kata Miraa utilize akili nyangau mkubwa
 
Hehehe huwa napenda mnavyojitoa ufahamu likija suala la ufisadi wa Odinga. Jamaa ametajwa ghadi basi, hata juzi ametajwa jinsi anavyo extort wawekezaji. Ufisadi kwenye counties za gavana wake ndio usipime, wengine hata wanatumia hizo hela za ufisadi kugharamia shughuli zake.

Tatizo kama nilivyosema viongozi wa serikali Kenya hakuna anayeweza kumfuata Odinga maana na wao wamejaa uchafu.

Ndivyo tulivyo na hamna jinsi. Binafsi nilikua na mradi pale ofisi za OPM kipindi Odinga akiwa waziri mkuu na niliyoyaona nikajua hakuna suluhisho dhidi ya ufisadi na ukabila kenya. Wote wanafiki na kila mtu anatafuta mwanya.

Kenya kwa ukabila ni kama saratani(cancer) kupona labda mpaka Yesu atakaporudi duniani! This has been aggravated by forming County Governments kwani zote ni serikali za kikabila, ziko 47 (makabila 43 pamoja na Wamakonde) yaani wanakuza ukabila badala ya kuupiga vita! Ushauri wangu ni vema kwa mara moja ondoa/abolish serikali za county na kuunda serikali za zone, zone ziwe kama nne tu ili kuua ukabila, Western Zone, Northen Zone, Coastal Zone and Central Zone!!!!! Na njia ya pili ni Africa Mashariki kuwa na Rais mmoja the rest ziitwe States(majimbo). However this will take time to materialize kwa hiyo option ya kwanza waanze nayo.
 
Nawaza hapa kwamba kinara wa upinzani Kenya Raila Odinga itokee amekamatwa leo kisa katajwa kuhusika na madawa. Akina Dr. Job Juakali1980 wanaweza kuipiga chini JF kwa malalamiko ya kufa mtu.

Anyway sijui maana ni kazi ya polisi na inaweza kuwa kweli kuna ushahidi wa kumhusisha kinara wa upinzani Tanzania bwana Mbowe, au labda ni yale ya kukomoana kisiasa.
Tuwasklize akina kadoda11 watupe updates.

Tanzanian main opposition Chadema party chairman Freeman Mbowe was Monday arrested in Dar es Salaam for snubbing a police summon.

Mr Mbowe had been directed by the Dar es Salaam Special Zone Commander, Mr Simon Sirro, to report to the Central Police Station within 48 hours.

He was wanted by the police for questioning on his alleged links with drug abuse and trade after being named by the Dar es Salaam Regional Commissioner, Mr Paul Makonda.

Party lawyers

However, reports from senior Chadema officials established that Mr Mbowe had decided to surrender himself to the police in the afternoon before law enforcers intercepted his car to arrest him.

“Mbowe has been arrested by the police,” was a short statement posted on Mr Tundu Lissu’s Twitter account. Mr Lissu is Chadema's chief legal advisor.

“Mbowe has been arrested by police who have been following him as he headed to Central Police Station. He is accompanied by party lawyers,” reads party’s Twitter account.

The Citizen journalist at the Central Police Station reported to have seen Mr Mbowe’s car there, though she could not establish whether he came in it or not.

Narcotic use

His arrest is the culmination of a week of war of words between the police on the one hand and Chadema lawyers, and Mr Mbowe himself on the other.

READ: Tanzania’s opposition denounces link to drugs

The Chadema supremo was named by Mr Makonda along with other prominent people as having something to do with narcotic use or trade in the city.

He, however, refuted any such links during a press conference in Dodoma and was categorical he would not comply with the police summons.

Tanzania opposition leader arrested over alleged drugs link

No proper procedure was followed when arrests were made, actually no arrests were implemented but the so called drug mules, drug barons and uses were given more than three days to report and thereafter be taken for home/office inspection for drugs which is abnormal. Unfortunately the RC acted like an illiterate person/ruler and indeed it has come to light that the RC or rather Daudi. Bashite is semi literate - a mere grade seven level(std seven) leaver who managed to use secondary school certificate of his friend to acquire positions within the government system. One person Bishop Gwajjima alerted the mass and the government. However the RC is so smart as he managed to fool the government vetting body!
 
Back
Top Bottom