cosa nostra
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,773
- 1,805
Ningekua Rais wa kenya ningefanya kama Kagame like hakuna kuutaja Hutu or Tutsi like wise ningesema hakuna kutajana makabila ...inaudhi sana sijui nyie mmezoeaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakenya ni tribe first then Country second. Hilo sioni likibailika anytime soonNingekua Rais wa kenya ningefanya kama Kagame like hakuna kuutaja Hutu or Tutsi like wise ningesema hakuna kutajana makabila ...inaudhi sana sijui nyie mmezoeaje
Ungekuwa rais kwa dakika mbili tu, trust me.Ningekua Rais wa kenya ningefanya kama Kagame like hakuna kuutaja Hutu or Tutsi like wise ningesema hakuna kutajana makabila ...inaudhi sana sijui nyie mmezoeaje
Hehehe huwa napenda mnavyojitoa ufahamu likija suala la ufisadi wa Odinga. Jamaa ametajwa ghadi basi, hata juzi ametajwa jinsi anavyo extort wawekezaji. Ufisadi kwenye counties za gavana wake ndio usipime, wengine hata wanatumia hizo hela za ufisadi kugharamia shughuli zake.Mkuu,tofautisha tuhuma na Kushikwa peupe,kama vile NYS walio pelekwa mahakamani.
Babake Kenyatta alinyakua ardhi na inajulikana mpaka nje ya mipaka ya Kenya...sijui ni ule msemo ni "wacha tufe wote".
Bila shaka hilo la Odinga litakua cha mtoto,afadhali kuiba kwa kiasi wenzako wana tamaa ya kupitiliza na hawabakishi chochote.....😀😀!
Too much of something is poisonous!
Halafu hotel za Tanzania mbona huwa lazima wageni wajaze makabila yao. Kwenu nimeona chembechembe za ukabila ila kidogo sana lakini udini ndio zenu kabisa.Ningekua Rais wa kenya ningefanya kama Kagame like hakuna kuutaja Hutu or Tutsi like wise ningesema hakuna kutajana makabila ...inaudhi sana sijui nyie mmezoeaje
mbona mnapenda kutaja makabila nyie wakenya.....duuuu nawashangaa sana
hiyo ya kuandika makabila in hotels ipo since Nyerere na wala haijaleta shida yoyote,About udini ni All over the worldHalafu hotel za Tanzania mbona huwa lazima wageni wajaze makabila yao. Kwenu nimeona chembechembe za ukabila ila kidogo sana lakini udini ndio zenu kabisa.
Japo kwa suala la ukabila nakiri Kenya limekua ovyo sana hadi kero.
Wajaluo wapo Tanzania na Kenya. Wazungu walichora mpaka wakagawa wengine Kenya wengine Tz. Hata ule utu na ukarimu unaupata kwa mjaluo, never from gikuyu. Jamaa ni manyang'au hatari!Kilam ni mtanzania na ni yeye aliyewataja wajaluo kwanza.
Watz humu JF hupenda kuwataja wajaluo na wakikuyu.
Huwataja Wajaluo sana sana wanapo kejeli na Wakikuyu wanapotaka kudhihirisha chuki,sijui haya ni kwa nini.
Hakuna mwanasiasa mwenye USAFI hata kiduchu Kenya, wote ni WEZI, MABEPARI na MATAJIRI wa KUTISHA Mpaka wakenya wameanza kuchukulia ni kawaida kwasababu ndio wenye nguvu.Mkuu huyo Odinga ni raisi wa kwel, sema tu familia hizo zingine(kenayatta /moi) pamoja na mabwenyenye/mafia/wanaharamu wa mlimani kule humnyan'ganya ushindi miaka nenda rudi, kwa hofu zitokanazo na mali pamoja na biashara haramu.
Chezea pesa weee!...ilimfanya Yuda Iskarioti kumuuza mkuu wake mchana peupe!
🙁😀😀
Hili kabila ndio chanzo cha matatizo kenyaWajaluo wapo Tanzania na Kenya. Wazungu walichora mpaka wakagawa wengine Kenya wengine Tz. Hata ule utu na ukarimu unaupata kwa mjaluo, never from gikuyu. Jamaa ni manyang'au hatari!
Udini huku ni kwa kiasi kidogo sana.. Japo naskia nyie hadi kwenye vita na alshabab mmeingiza udini.Halafu hotel za Tanzania mbona huwa lazima wageni wajaze makabila yao. Kwenu nimeona chembechembe za ukabila ila kidogo sana lakini udini ndio zenu kabisa.
Japo kwa suala la ukabila nakiri Kenya limekua ovyo sana hadi kero.
Siasa ya Bongo Haina shida sana compared to Kenyan ambayo ina kama kingdomship wanasiasa wao wote wakubwa wazazi wao walikua hivo hivo in 60's sisi leo tumemchagua JPM mtoto wa mkulima hana history yoyote ya kujilimbikizia mbali wala wazazi wake kua politicians beforeat least kenyan wako mbali. waliweza kutoa serikal wakaweka nyingine. ss huko bongo tuna safari ndefu. lakini Mungu yupo tutafika tuu
Mkuu hakuna kilichabadilika pale, imebadilishwa brand name ya chama, watu walewale . mchezo tu huo gikuyu &Co walicheza.at least kenyan wako mbali. waliweza kutoa serikal wakaweka nyingine. ss huko bongo tuna safari ndefu. lakini Mungu yupo tutafika tuu
Hao jamaa huku Tz hawatakiwi, They may spoil our generation.Hili kabila ndio chanzo cha matatizo kenya
Kikuyu!!!
Siasa ya Bongo Haina shida sana compared to Kenyan ambayo ina kama kingdomship wanasiasa wao wote wakubwa wazazi wao walikua hivo hivo in 60's sisi leo tumemchagua JPM mtoto wa mkulima hana history yoyote ya kujilimbikizia mbali wala wazazi wake kua politicians before
Kilam ni mtanzania na ni yeye aliyewataja wajaluo kwanza.
Watz humu JF hupenda kuwataja wajaluo na wakikuyu.
Huwataja Wajaluo sana sana wanapo kejeli na Wakikuyu wanapotaka kudhihirisha chuki,sijui haya ni kwa nini.
Wewe hujui unachokisema.Hili kabila ndio chanzo cha matatizo kenya
Kikuyu!!!