johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hekima, Busara na Mikakati iliyotumiwa na Shujaa Magufuli imezidi kurithiwa na Viongozi mbalimbali duniani
Kenya wasema kuanzia sasa Maandamano ya aina yoyote ni Marufuku nchini humo
Waziri wa Usalama Prof Kindiki amesema anayebisha ajaribu auone Moto, Jeshi la polisi liko tayari
Taarifa zaidi Citizens TV!
Kenya wasema kuanzia sasa Maandamano ya aina yoyote ni Marufuku nchini humo
Waziri wa Usalama Prof Kindiki amesema anayebisha ajaribu auone Moto, Jeshi la polisi liko tayari
Taarifa zaidi Citizens TV!