King Kiba amjibu Icon wa Taifa Diamond Platinumz

Kumbe mtu anaweza kukuzidi kiumri lkn ukaja ukamzidi hela mfano kiba anamzidi domo kama miaka mitano iv lkn kimkwanja kiba anakimbizwa balaaa
justin bieber ana miaka 21 amemzidi hela mpaka rais wake trump
 


Hapo amevaa pete!!!??
 
Nimeamini kibakuli anajishighulisha sana na mond kikwapi ooh tembo mpole oooh anajielewa icho juu nn aibu yenu smh[emoji57][emoji57][emoji57] na bado watachezeshwa sankoro mpaka wakome chezea mr oxygen
 
Kiki zinapatikana Wasafi tu, tumemzoea na wenzake Hbaba, Vitobo ya mashavu, ma'ex wote walewale..

Chibu Dangote hakumtaja mtu, ila ye katafuta hiyo pete ili ionekane aliongelewa yeye..
Duh so alimsema shamsa ford au
 
Kumbe mtu anaweza kukuzidi kiumri lkn ukaja ukamzidi hela mfano kiba anamzidi domo kama miaka mitano iv lkn kimkwanja kiba anakimbizwa balaaa
HIV huwa mnafikiria kabla nyi team domo?
 
kwani hiyo pete ni ya kijani wakuu?
surely i am not colour blind.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…