King Kiba amjibu Icon wa Taifa Diamond Platinumz

King Kiba amjibu Icon wa Taifa Diamond Platinumz

Kiki zinapatikana Wasafi tu, tumemzoea na wenzake Hbaba, Vitobo ya mashavu, ma'ex wote walewale..

Chibu Dangote hakumtaja mtu, ila ye katafuta hiyo pete ili ionekane aliongelewa yeye..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ana force bifu
 
Kumbe mtu anaweza kukuzidi kiumri lkn ukaja ukamzidi hela mfano kiba anamzidi domo kama miaka mitano iv lkn kimkwanja kiba anakimbizwa balaaa
Kwa miaka 40 anamzidi 10+
 
Kumbe mtu anaweza kukuzidi kiumri lkn ukaja ukamzidi hela mfano kiba anamzidi domo kama miaka mitano iv lkn kimkwanja kiba anakimbizwa balaaa
Una akili kwa hiki ulichoandika? Hivi umri ndio pesa ,utakuwa unaugua matende si bure.
 
Kumbe mtu anaweza kukuzidi kiumri lkn ukaja ukamzidi hela mfano kiba anamzidi domo kama miaka mitano iv lkn kimkwanja kiba anakimbizwa balaaa
kwani wewe na Rashford nani ni mkubwa na nani ana hela kumzidi mwenzake?
 
Pete ya kijani maana yake nini??
 
Kumbe mtu anaweza kukuzidi kiumri lkn ukaja ukamzidi hela mfano kiba anamzidi domo kama miaka mitano iv lkn kimkwanja kiba anakimbizwa balaaa
Kumbe 1986 na 1989 tofauti yake ni miaka mitano?!

Siku nyingine ongea kitu unachokijua.
 
Back
Top Bottom