King Mseke, mtoto wa Joh Makini aanza mafunzo ya Soka kwenye Academy ya Manchester City, Uingereza

Sure, Soka ndio sekta inayotoa ajira kwa watu wengi sana duniani na maisha ya wengi yamebadilika kupitia mpira
Tuwekeze humo kwa vizazi vyetu kama uwezo tunao, alichokifanya joh makini kinaenda kumlipa very soon. Huyo dogo akifanikiwa kuingia kwenye academy ya timu kubwa yeyote ulaya tayari atakuwa mbali sana.
 
Kabla sijamfanyia dua vipi na uraia?Isiwe sasa akakubalika na uraia ukahamia huko tusinufaike nae.
 
Hizi nywenye zimemzeesha mtoto!! Kama kama mtu mzima mtoto.

Anyway, kila la kheri kwake, akawe mchezaji mkubwa one day.
 
Hivi huyu mtoto hana pozi nyingine zaidi ya hii?
 
Wabongo kwa nongwa hawajambo. Yani dogo bado hajaanza hata majaribio kuona kama atafanikiwa au lah. tayari wabongo washaanza kumsema eti hana mwili wa boli.
 
Kitendo cha kufika man city academy ni hatua nzuri kikubwa tumuombee mungu dogo afike mbali.pongezi kwa mama samia kwa kusapoti michezo ame motivate vijana
 
Oya tuacheni kula bange kipindi wake zetu wakiwa wajawazito cheki dogo ana sura ya kihuni pure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…