ila hii njemba inaniachaga hoi sana😂Mie mbona nnalo, ngoja nkutumie pm ulione......
Mr why, inaonekana unamfatlia Kwa karibu sana.......King of Squats akiwa Arusha kwa maandalizi ya mazoezi, tazama Video hii kwa umakini kisha rusha maoni yako
Mr. why kwenye ubora wako, 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Huyu sijui ni mwanaume wa aina gani siti yote hiyo eti mazoezi 🤔
Wallah vile,Nawanda akimuona huyu haponi.King of Squats akiwa Arusha kwa maandalizi ya mazoezi, tazama Video hii kwa umakini kisha rusha maoni yakwa
Si General tyre hapo 😂😂Sorry. Tusimame kwanza niulize swali.
Kipi kinathibitisha kuwa hapo ni Arusha?
Mmmhh nakuwa na uhakika gani kwa kuona majengo mawili na miti? Hakuna sehemu nyingine panapoweza kuwa na mazingira ya aina hiyo?Si General tyre hapo 😂😂
Hivi jamaa ana mke?? 🤔Huyu sijui ni mwanaume wa aina gani siti yote hiyo eti mazoezi 🤔
Yote majibuMmmhh nakuwa na uhakika gani kwa kuona majengo mawili na miti? Hakuna sehemu nyingine panapoweza kuwa na mazingira ya aina hiyo?
Au ulienda ku squat?
Kuna intavyuu, video iliwekwa hapa nadhani ni millard kama sijakosea, mwamba yupo kwa wadudu huko.....mmefikiwa 😹Mmmhh nakuwa na uhakika gani kwa kuona majengo mawili na miti? Hakuna sehemu nyingine panapoweza kuwa na mazingira ya aina hiyo?
Au ulienda ku squat?
Usipanic broYote majibu
Sawa sisterUsipanic bro
Daah wewe mdada upo makini sana na uduanzi kama huu, nimecheka kweli!
Hakuna mwanaume anayekubali kubanduliwa ili apate pesa.Huyu sijui ni mwanaume wa aina gani siti yote hiyo eti mazoezi 🤔