King Rover: Billionea kijana mwenye madharau Dar es Salaam anayekimbiza Bongo nzima

dar hii hii au ile ya kusini?sijawahi msikia popote...hata magazet ya udaku hajawahi kuandikwa?
 

Na hizi pesa anazopiga picha ni za baba yake?
 
Nimesoma nae KIU certificate ya I.T .alikuaga na range ya kizamani imechokaaa akaiwekea ream nyekundu basi misele yake sasa pale campus ni shida.uzuri watoto wa KIU ni very expensive na almost karibia wote ni wale familia bora so wakamshit na kufanya yao
 
Nimesoma hii thread mpaka mwisho sijaona jina halisi ya huyu jamaa wala majina ya wazazi wake,isiwe hela escrow.
BAK MANI Elli Shark King Kong III Pasco

wakuu hamna mwenye details za huyu bwana,dalili za escrow hizi

mkuu Viol Huyu kijana anaitwa Raymond Ndazi jina la kwenye cheti cha kuzaliwa.anaishi Chanika.sio kweli kama ni bilionea bali mshua wake yupo kwenye system ya madrug lords.na hivi karibuni alipotea na mzigo wa ml 300 vijana wa Chonji wakamla kiboga ndipo mshua wake akaumwaga ugali wote na mboga ns maji ya kunawa ndio wakina Chonji kukamatwa na muvi bado inaendelea
 
Last edited by a moderator:

C.c King Kong III MUZA sura
 
Last edited by a moderator:
Kwamba watoto wa KIU Ni Expensive sana πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
 
Kuwa na hela sio hoja, hoja amezipataje?
Kuna watu wana Cash kama Zuckerberg mmiriki wa face book, Ruge, Diamond, wote hao wametumia akili kupata mkwanja, sasa huyu ananini,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bora umuulize kwakweli
Manina [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Man ulikua unatafuta nini threads za 2014??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…