chalii wa ara
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,063
- 931
Huyu dogo hana ubilionea wowote , Dogo anaishi maeneo ya chanika tena (KKB) Kula Kulala Bure kwa wazaz kama kuna anaebisha aje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh! anapenda sifa tu huyo mtoto, kamaliza certificate KIU Dar College mwaka juzi. Ana mambo ya kike kike na anapenda sifa balaa, ana range rover nyeupe ya babake anampeleka kwenye mishe na kumfata, muda hayuko nae ndio anazura na hilo gari na anatembea na panga, akiwa na babake mdogoooooooooo kama priton. Anapenda kujishow na watu walikuwa hawampendi anataka ustaa kwa nguvu na mkizinguana anakimbilia panga,aliendaga nje kwa bro wake akarudi na picha kila mtu kamuonyesha!hana lolote kwao pugu huko kama sio chanika, aende zake huko, yupo yupo tu kama kuku wa kuchora
Na hizi pesa anazopiga picha ni za baba yake?
lione kama litanunua na uhai vile kanuue roho usife ndio tutakuona we bilionea pambafu wee
mkuu Viol Huyu kijana anaitwa Raymond Ndazi jina la kwenye cheti cha kuzaliwa.anaishi Chanika.sio kweli kama ni bilionea bali mshua wake yupo kwenye system ya madrug lords.na hivi karibuni alipotea na mzigo wa ml 300 vijana wa Chonji wakamla kiboga ndipo mshua wake akaumwaga ugali wote na mboga ns maji ya kunawa ndio wakina Chonji kukamatwa na muvi bado inaendelea
Manina 😁😁😁😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣Anaendeleaje billionaire wetu huko[emoji23][emoji23]
Kwamba watoto wa KIU Ni Expensive sana 😛 😛 😛 😛Nimesoma nae KIU certificate ya I.T .alikuaga na range ya kizamani imechokaaa akaiwekea ream nyekundu basi misele yake sasa pale campus ni shida.uzuri watoto wa KIU ni very expensive na almost karibia wote ni wale familia bora so wakamshit na kufanya yao
Manina [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Man ulikua unatafuta nini threads za 2014??
Hahahahahah Nacheka lakini Naogopa!Kwamba watoto wa KIU Ni Expensive sana [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]