King Rover: Billionea kijana mwenye madharau Dar es Salaam anayekimbiza Bongo nzima

King Rover: Billionea kijana mwenye madharau Dar es Salaam anayekimbiza Bongo nzima

Mmmh! anapenda sifa tu huyo mtoto, kamaliza certificate KIU Dar College mwaka juzi. Ana mambo ya kike kike na anapenda sifa balaa, ana range rover nyeupe ya babake anampeleka kwenye mishe na kumfata, muda hayuko nae ndio anazura na hilo gari na anatembea na panga, akiwa na babake mdogoooooooooo kama priton. Anapenda kujishow na watu walikuwa hawampendi anataka ustaa kwa nguvu na mkizinguana anakimbilia panga,aliendaga nje kwa bro wake akarudi na picha kila mtu kamuonyesha!hana lolote kwao pugu huko kama sio chanika, aende zake huko, yupo yupo tu kama kuku wa kuchora

Na hizi pesa anazopiga picha ni za baba yake?
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1417553599.157066.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1417553599.157066.jpg
    49.5 KB · Views: 505
Nimesoma nae KIU certificate ya I.T .alikuaga na range ya kizamani imechokaaa akaiwekea ream nyekundu basi misele yake sasa pale campus ni shida.uzuri watoto wa KIU ni very expensive na almost karibia wote ni wale familia bora so wakamshit na kufanya yao
 
Nimesoma hii thread mpaka mwisho sijaona jina halisi ya huyu jamaa wala majina ya wazazi wake,isiwe hela escrow.
BAK MANI Elli Shark King Kong III Pasco

wakuu hamna mwenye details za huyu bwana,dalili za escrow hizi

mkuu Viol Huyu kijana anaitwa Raymond Ndazi jina la kwenye cheti cha kuzaliwa.anaishi Chanika.sio kweli kama ni bilionea bali mshua wake yupo kwenye system ya madrug lords.na hivi karibuni alipotea na mzigo wa ml 300 vijana wa Chonji wakamla kiboga ndipo mshua wake akaumwaga ugali wote na mboga ns maji ya kunawa ndio wakina Chonji kukamatwa na muvi bado inaendelea
 
Last edited by a moderator:
mkuu Viol Huyu kijana anaitwa Raymond Ndazi jina la kwenye cheti cha kuzaliwa.anaishi Chanika.sio kweli kama ni bilionea bali mshua wake yupo kwenye system ya madrug lords.na hivi karibuni alipotea na mzigo wa ml 300 vijana wa Chonji wakamla kiboga ndipo mshua wake akaumwaga ugali wote na mboga ns maji ya kunawa ndio wakina Chonji kukamatwa na muvi bado inaendelea

C.c King Kong III MUZA sura
 
Last edited by a moderator:
Nimesoma nae KIU certificate ya I.T .alikuaga na range ya kizamani imechokaaa akaiwekea ream nyekundu basi misele yake sasa pale campus ni shida.uzuri watoto wa KIU ni very expensive na almost karibia wote ni wale familia bora so wakamshit na kufanya yao
Kwamba watoto wa KIU Ni Expensive sana 😛 😛 😛 😛
 
Kuwa na hela sio hoja, hoja amezipataje?
Kuna watu wana Cash kama Zuckerberg mmiriki wa face book, Ruge, Diamond, wote hao wametumia akili kupata mkwanja, sasa huyu ananini,
 
Back
Top Bottom