Huyu namfaham nimesoma nae shule moja japo nilimnzidi vidato na nimekaa nae maeneo ya kipunguni mda mrefu sana,kweli baba yake ni mwanajesh mstaafu sijui cheo chake basical
huyu hela sio siri anazo nyingi sana ila sasa anapopata ndio mtihani haiko wazi kuna kipindi alikua us,australia,japan na china huko alikua anatutumia picha anaendesha gari za thamani kama lambogin ferari na bently au hata boti za kifahari kutokana a ubish wetu kua picha zile umedit akawa anatutumia hadi video ,,na hata akirudi tukienda bar anakaa na madem warembo hakuna mfano wake tena zaid ya watatu madem ambao maisha yao thamani yake ni 1000 dollar life style