Usikwepe hoja.Ulitegemea Nini!
Ndugai anatetea ugali wake lazima afanye anachofanya kuwaridhi mabwana zake
[HASHTAG]#HappyAnniversaryToMeInJF[/HASHTAG]
Hikma ya kinga ya marais wastaafu naitafakari bado sijaona mapungufu yake. Ni hikma kubwa sana, mtu akiwa Rais wa Tanzania wa aina hii ya Tanzania tuliyo nayo sasa kumtikisa ni kulitikisa taifa zima, kama hutaki una acha, hata hivyo Rais mara nyingi ana shauriwa na wataalamu mbalimbali, kwa mfano wataalamu wa sheria. Sasa kama Rais kashauriwa na mwanasheria akamuingiza chaka yeye afanye je?
Kwani mfano wanasheria walio andaa hii mikataba wote ni marehemu? Mpaka tufikie kutafuta Marais wastaafu ambao wana kinga tayari na walishauriwa tu.
Na washawasha!
Usikwepe hoja.
Mkapa.
Kikwete
Sumaye
Lowasa.
Je upo tayari hiyo team yote ishtakiwe?
Ndungai na ccm yake watu wa ajabu sana 'tumuunge rais' hii sentensi maana yake nini? Maana yake waliohusika wanastahili adhabu period. Mwenyewe amesema wahusika wote washughulikiwe hata iwe nani sasa huyu anaona bunge ndio pa kuwabana wapinzani. Hivi kwa nini hawaelewi tatizo ni hicho kiti cha uspika ndio kinatuingiza kwenye majanga yote haya. SPIKA anza kujitambua angalau kidogo uwatendee haki watanzania acha kuitumikia ccm.
We jamaa.....Tuna lisipika la hovyo hovyo sijui ni kutokana na ugonjwa wake alionao?maana anatumia vidonge tazama mashavu yake yalivyovimba ila ugonjwa ule haujifichi hahahaha
Kinachowauma chadema ni kwamba kila mti wanaogusa, ukiangushwa unaangukia hadi nyumba yao!Unaona jinsi gani Tanzania tumefikia kuwa na akili ndogo sana (akili ndogo mamlaka makubwa)? Watu tunaongelea kuwawajibisha viongozi kwa makosa makubwa yaliyotangulia, Speaker mzima, anatoa comment zisizo na mshiko kama hi!!! Kwani kama hao Mawaziri waliotangulia wana makosa kwa nini wasishitakiwe wawe CCM au upinzani?
Kwa nini mtu mzima kama Ndugai anadhani kila upnzani wakiongea ni kwa ajili ya kutetea maslahi yao na kukandamiza CCM? How can a person like Ndugai think in such an impotent manner?!? Labda matusi anayotukanwa yanastahili, kama kweli ametoa comment hama hiyo na yeye ni Speaker.
Yaani Ndugai anaona point ya kuwashitaki viongozi waliopita ni point dhidi ya CCM sio taifa? Aliyesema wastaafu waliohamia upinzani wasishitakiwe nani? Kwa nini unaleta uvyama kwenye comment zinazotolewa kwa maslahi ya taifa, na wewe ndio Speaker?
Kwa hili Ndugai amedhihirisha wazi hana uwezo, busara wala akili ya kuwa Speaker.
Huyu jamaa anaqualify kuwa ni janga la taifa. Kwa akili ile na kiti kile na madaraka yale itakula kwetu. Vote of no confidence kwa Ndugai on grounds of incompetence and partisanship ifanyike kuondoa hii balaaUnaona jinsi gani Tanzania tumefikia kuwa na akili ndogo sana (akili ndogo mamlaka makubwa)? Watu tunaongelea kuwawajibisha viongozi kwa makosa makubwa yaliyotangulia, Speaker mzima, anatoa comment zisizo na mshiko kama hi!!! Kwani kama hao Mawaziri waliotangulia wana makosa kwa nini wasishitakiwe wawe CCM au upinzani?
Kwa nini mtu mzima kama Ndugai anadhani kila upnzani wakiongea ni kwa ajili ya kutetea maslahi yao na kukandamiza CCM? How can a person like Ndugai think in such an impotent manner?!? Labda matusi anayotukanwa yanastahili, kama kweli ametoa comment hama hiyo na yeye ni Speaker.
Yaani Ndugai anaona point ya kuwashitaki viongozi waliopita ni point dhidi ya CCM sio taifa? Aliyesema wastaafu waliohamia upinzani wasishitakiwe nani? Kwa nini unaleta uvyama kwenye comment zinazotolewa kwa maslahi ya taifa, na wewe ndio Speaker?
Kwa hili Ndugai amedhihirisha wazi hana uwezo, busara wala akili ya kuwa Speaker.
"Mabadiliko mnayoyataka yakipitishwa na viongozi mlionao wakikamatwa msije mkalalamika tena," amesemaNdugai.
Chanzo: Mwananchi
Namimi namshangaa Ndugai kama mawaziri wakuu waliopo chadema walihusika basi wakamatwe na kushitakiwa pia,tunataka sheria ikate kotekoteKwani Mawaziri wakuu wastaafu Wana Kinga?
CHADEMA hata kama wasingewapokea hao bado tu wangepondwa...Ni kawaida opposition kuitwa majina yoyote na rulling party
Ni vema Speaker wa Bunge letu Tukufu akatambua kuwa hao anaosema wapo Upinzani na hivo waweza kuathiriwa na hoja ya Mbunge wa Kilombero hawana KINGA. Kama wana makosa, ni juu ya vyombo vya Ulinzi na Usalama kuchukua hatua stahiki. Hawawezi kulindwa ili kuwalinda viongozi walio na kinga. Mheshimiwa wetu huyu ameonyesha udhaifu wa ajabu kwa kauli yake hii.Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.
Dodoma. Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia.
Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.
"Haiwezekani mzee wangu (Andrew) Chenge na (Nazir) Karamagi walipitisha mikataba hiyo bila Rais aliyekuwapo kufahamu. Kinga ya Rais kushtakiwa iondolewe ili wahojiwe," amesema Lijualikali.
Baada ya hoja hiyo ya Lijualikali inayofanana na ya Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Ndugai aliwakumbusha juu ya mawaziri wastaafu walionao kwenye chama chao.
"Mabadiliko mnayoyataka yakipitishwa na viongozi mlionao wakikamatwa msije mkalalamika tena," amesemaNdugai.
Chanzo: Mwananchi
Kwani huyo Sumaye na Lowassa wana kinga gani ya kushtakiwa mpaka aseme hivyo? haki ya nani kumbe Bunge tunalilaumu bure bali ni kuwa lina kiongozi mbumbumbu kabisa. Aliyemuambia kuwa Wapinzani hawataki Sumaye ashtakiwe kama kakosea nani?Usikwepe hoja.
Mkapa.
Kikwete
Sumaye
Lowasa.
Je upo tayari hiyo team yote ishtakiwe?
Asitafute sababu na visingizio.