inembe
JF-Expert Member
- Sep 7, 2015
- 306
- 189
sasa kama spika anafikilia hivi, je wabunge wa CCM kweli wana uwezo wa kubadili sheria ya madini kweli kwa manufaa ya Taifa.
Kama ni Taifa kwanza, hawa L, S ni nani hadi wanaonekana wao wakiguswa Taifa limeguswa.
huyu spika ndo Jana kaongea kwa majonzi au alikuwa anamuogopa Rais tu na kumuadaa.
bado sana ndani ya ccm kupata mtu mwingine kama JPM, bado sana sana tu.
Leo eti Chenge bado Mwenyekiti wa bunge, spika, naibu, katibu wa bunge, Waziri Mkuu wote wanaangalia tu badala ya huyu kuwa korokoroni.
we are not yet serious
Kama ni Taifa kwanza, hawa L, S ni nani hadi wanaonekana wao wakiguswa Taifa limeguswa.
huyu spika ndo Jana kaongea kwa majonzi au alikuwa anamuogopa Rais tu na kumuadaa.
bado sana ndani ya ccm kupata mtu mwingine kama JPM, bado sana sana tu.
Leo eti Chenge bado Mwenyekiti wa bunge, spika, naibu, katibu wa bunge, Waziri Mkuu wote wanaangalia tu badala ya huyu kuwa korokoroni.
we are not yet serious