Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

sasa kama spika anafikilia hivi, je wabunge wa CCM kweli wana uwezo wa kubadili sheria ya madini kweli kwa manufaa ya Taifa.

Kama ni Taifa kwanza, hawa L, S ni nani hadi wanaonekana wao wakiguswa Taifa limeguswa.

huyu spika ndo Jana kaongea kwa majonzi au alikuwa anamuogopa Rais tu na kumuadaa.

bado sana ndani ya ccm kupata mtu mwingine kama JPM, bado sana sana tu.
Leo eti Chenge bado Mwenyekiti wa bunge, spika, naibu, katibu wa bunge, Waziri Mkuu wote wanaangalia tu badala ya huyu kuwa korokoroni.

we are not yet serious
 
Ulitegemea Nini!
Ndugai anatetea ugali wake lazima afanye anachofanya kuwaridhi mabwana zake
[HASHTAG]#HappyAnniversaryToMeInJF[/HASHTAG]
Usikwepe hoja.
Mkapa.
Kikwete
Sumaye
Lowasa.
Je upo tayari hiyo team yote ishtakiwe?
 
Hikma ya kinga ya marais wastaafu naitafakari bado sijaona mapungufu yake. Ni hikma kubwa sana, mtu akiwa Rais wa Tanzania wa aina hii ya Tanzania tuliyo nayo sasa kumtikisa ni kulitikisa taifa zima, kama hutaki una acha, hata hivyo Rais mara nyingi ana shauriwa na wataalamu mbalimbali, kwa mfano wataalamu wa sheria. Sasa kama Rais kashauriwa na mwanasheria akamuingiza chaka yeye afanye je?

Kwani mfano wanasheria walio andaa hii mikataba wote ni marehemu? Mpaka tufikie kutafuta Marais wastaafu ambao wana kinga tayari na walishauriwa tu.

Na washawasha!

Mwingine yupo Bungeni tena ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini
 
Huyo naye anastahili apandishwe kizimbani kwa kulifanya bunge kuwa kitengo cha MACCM na kuliendesha kihuni. Wanagawana rushwa Bungeni haya MACCM ya milioni 10 kila mmoja ili kupitisha muswaada uchwara wa kuminya habari nchini. Spika kimyaaa, Naibu spika kimyaaaa, Waziri Mkuu Kimyaa. Yanapitisha mikataba ya kifisadi iliyojaa ufisadi wa hali ya juu kwa dharura utadhani kuna haraka ya kufanya hivyo halafu leo yanaweweseka yanataka tumsifie Magufuli! Tumsifie huyu kwa lipi wakati zaidi ya miaka 20 alikuwemo Bungeni na ndani ya Serikali kupitisha hiyo mikataba ya wizi wala hakutia neon hata kwa sekunde moja. Hili nalo la MACCM kugawana rushwa MACCM bado yanamtafuta mchawi aliyewaroga ili yagawane rushwa kufanya uhuni wao.



Ndungai na ccm yake watu wa ajabu sana 'tumuunge rais' hii sentensi maana yake nini? Maana yake waliohusika wanastahili adhabu period. Mwenyewe amesema wahusika wote washughulikiwe hata iwe nani sasa huyu anaona bunge ndio pa kuwabana wapinzani. Hivi kwa nini hawaelewi tatizo ni hicho kiti cha uspika ndio kinatuingiza kwenye majanga yote haya. SPIKA anza kujitambua angalau kidogo uwatendee haki watanzania acha kuitumikia ccm.
 
!
!
Aisee..... Usitegemee lolote toka kwa wazee wa ndiooooooo.... Wamechanganyikiwa hawajui washike wapi
 
Unaona jinsi gani Tanzania tumefikia kuwa na akili ndogo sana (akili ndogo mamlaka makubwa)? Watu tunaongelea kuwawajibisha viongozi kwa makosa makubwa yaliyotangulia, Speaker mzima, anatoa comment zisizo na mshiko kama hi!!! Kwani kama hao Mawaziri waliotangulia wana makosa kwa nini wasishitakiwe wawe CCM au upinzani?

Kwa nini mtu mzima kama Ndugai anadhani kila upnzani wakiongea ni kwa ajili ya kutetea maslahi yao na kukandamiza CCM? How can a person like Ndugai think in such an impotent manner?!? Labda matusi anayotukanwa yanastahili, kama kweli ametoa comment hama hiyo na yeye ni Speaker.

Yaani Ndugai anaona point ya kuwashitaki viongozi waliopita ni point dhidi ya CCM sio taifa? Aliyesema wastaafu waliohamia upinzani wasishitakiwe nani? Kwa nini unaleta uvyama kwenye comment zinazotolewa kwa maslahi ya taifa, na wewe ndio Speaker?


Kwa hili Ndugai amedhihirisha wazi hana uwezo, busara wala akili ya kuwa Speaker.
Kinachowauma chadema ni kwamba kila mti wanaogusa, ukiangushwa unaangukia hadi nyumba yao!
 
Unaona jinsi gani Tanzania tumefikia kuwa na akili ndogo sana (akili ndogo mamlaka makubwa)? Watu tunaongelea kuwawajibisha viongozi kwa makosa makubwa yaliyotangulia, Speaker mzima, anatoa comment zisizo na mshiko kama hi!!! Kwani kama hao Mawaziri waliotangulia wana makosa kwa nini wasishitakiwe wawe CCM au upinzani?

Kwa nini mtu mzima kama Ndugai anadhani kila upnzani wakiongea ni kwa ajili ya kutetea maslahi yao na kukandamiza CCM? How can a person like Ndugai think in such an impotent manner?!? Labda matusi anayotukanwa yanastahili, kama kweli ametoa comment hama hiyo na yeye ni Speaker.

Yaani Ndugai anaona point ya kuwashitaki viongozi waliopita ni point dhidi ya CCM sio taifa? Aliyesema wastaafu waliohamia upinzani wasishitakiwe nani? Kwa nini unaleta uvyama kwenye comment zinazotolewa kwa maslahi ya taifa, na wewe ndio Speaker?


Kwa hili Ndugai amedhihirisha wazi hana uwezo, busara wala akili ya kuwa Speaker.
Huyu jamaa anaqualify kuwa ni janga la taifa. Kwa akili ile na kiti kile na madaraka yale itakula kwetu. Vote of no confidence kwa Ndugai on grounds of incompetence and partisanship ifanyike kuondoa hii balaa
 
"Mabadiliko mnayoyataka yakipitishwa na viongozi mlionao wakikamatwa msije mkalalamika tena," amesemaNdugai.

Chanzo: Mwananchi


Hii ya Mwaka.
Duh! Naona spika anahitaji kupunzika. Hivi anadhani Upinzani hawajui kama Lowasa na Sumaye wako huku?
Kwa hiyo 40milioni ya watanzania waumie kisa kuna pande mbili Marais vs Mawaziri Wakuu. Huku kunaitwa kufikiri kimasilahi binafsi .
 
CHADEMA hata kama wasingewapokea hao bado tu wangepondwa...Ni kawaida opposition kuitwa majina yoyote na rulling party

Ni kweli ila waliokuwa wanaponda ili kujikinga kwani wasingeweza kukaa kimya bila kujitetea, na wananchi walikuwa na imani sana na upinzani ule. Sasa leo cdm inapata wapi nguvu ya kupambana na ccm wakati waongoza mashambulizi wa cdm ni Sumaye na Lowassa!!? Cdm ilikubalika kwa kunyooshea mkono ufisadi na mafisadi, leo hii si tunakufa na tai shingoni kwa kukumbatia watu ambao hawajawahi kukubali sera zetu, hawajawahi kusupport upinzani hata kwa bahati mbaya. Hao wako cdm kwa ajili ya madaraka tu ila kiroho bado wapo ccm. Kwa taarifa yako leo hii Magufuli ni rais wa nchi hii kutokana na upinzani uliokuwa na nguvu, ilionekana ndio mwanaccm mwenye afadhali ya kupambana na upinzani, kubali kataa.
 
Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

Dodoma. Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia.

Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

"Haiwezekani mzee wangu (Andrew) Chenge na (Nazir) Karamagi walipitisha mikataba hiyo bila Rais aliyekuwapo kufahamu. Kinga ya Rais kushtakiwa iondolewe ili wahojiwe," amesema Lijualikali.

Baada ya hoja hiyo ya Lijualikali inayofanana na ya Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Ndugai aliwakumbusha juu ya mawaziri wastaafu walionao kwenye chama chao.

"Mabadiliko mnayoyataka yakipitishwa na viongozi mlionao wakikamatwa msije mkalalamika tena," amesemaNdugai.

Chanzo: Mwananchi
Ni vema Speaker wa Bunge letu Tukufu akatambua kuwa hao anaosema wapo Upinzani na hivo waweza kuathiriwa na hoja ya Mbunge wa Kilombero hawana KINGA. Kama wana makosa, ni juu ya vyombo vya Ulinzi na Usalama kuchukua hatua stahiki. Hawawezi kulindwa ili kuwalinda viongozi walio na kinga. Mheshimiwa wetu huyu ameonyesha udhaifu wa ajabu kwa kauli yake hii.
 
Mbunge anataka marais wastaafu washtakiwe, supika anatuchanganyia madesa, mawizir wakuu sijui wanatoka wapi? ikifika wakati wanatakiwa kuwajibishwa wawajibishwe tu bila kujali wapo chama kipi, kwani wao kwenda upinzani wamewekewa kinga ya kutoshtakiwa? hii spika nina mashaka na uwezo wa akili yake
 
Usikwepe hoja.
Mkapa.
Kikwete
Sumaye
Lowasa.
Je upo tayari hiyo team yote ishtakiwe?
Kwani huyo Sumaye na Lowassa wana kinga gani ya kushtakiwa mpaka aseme hivyo? haki ya nani kumbe Bunge tunalilaumu bure bali ni kuwa lina kiongozi mbumbumbu kabisa. Aliyemuambia kuwa Wapinzani hawataki Sumaye ashtakiwe kama kakosea nani?
Nadhani yale matibabu ya India waliondoa nati kadhaa kichwani mwake
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Bado MACCM yako busy kutafuta namna ya kukingiana vifua! Watu wa ajabu sana hawa! Sasa wanawatisha CHADEMA eti wakipandishwa kizimbani mafisadi Mkapa, Kikwete na wengineo ndani ya MACCM basi na hao waliohamia Chadema watapandishwa kizimbani! Hivi ni lini CHADEMA walitoka kauli ya kupinga hao waliohamia Chadema kama walihusika na makosa yoyote yale ndani ya Serikali wasipandishwe Kizimbani?

Hizi ZERO BRAINS zinaiangamiza nchi yetu.

Asitafute sababu na visingizio.
 
Back
Top Bottom