Absolutely!!! 100%Usikwepe hoja.
Mkapa.
Kikwete
Sumaye
Lowasa.
Je upo tayari hiyo team yote ishtakiwe?
Mwingine yupo Bungeni tena ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini
Haya mambo wakati mwingine na shindwa kupigwa butwaa najichekee. Tena ndiye atakaye kuwa akiwangiza wabunge kufanyiwa marekebesho (kwa maana ya muongozaji) ya sheria za usimamizi wa madini na gasi.
Juzi kati hapa jamaa mmoja akawa katika utani utani hivi anatania, eti Mh Rais anaongoza vita kubwa na hatari sana ya makampuni ya kimataifa ya madini lakini hapo dsm vikampuni vinaendelea kupiga dili za mashine za efds za TRA, watu kwa maneno!!.
Na washawasha!
Ni aibu sana kua na supika mwenye kufikiri kwa kiwango hikiHivi Lijualikali amesema mawaziri wakuu kama wanahusika wasishtakiwe. Kweli kiwango cha ufahamu cha supika kimeathirika. Hoja nyeupe majibu meusi? Kwa hiyo kinachofanya Marais wastaafu wasishtakiwe ni kutokana na huruma kwa Mawaziri wakuu?
Hapo sawa...hii issue ni kubwa sana kuliko tunavyodhaniaWote tu waliohusika washtakiwe kama ni wa MACCM au waliohamia Chadema. Kama walihusika kwa namna moja au nyingine basi hakuna jinsi.
Hapo sawa...hii issue ni kubwa sana kuliko tunavyodhania
Nimeangalia CV ya Kalemani hakutaja kama alifanya kazi Douglas Lake minerals ,I just wonder why?Ina maana kubwa kwamba yawezekana amefanya hivyo with puporse asijulikane kwamba alishiriki,lakini mitandao imeonyesha alikuwa mwajiriwa huko.Na hajakanusha.
Ndugai aache mikwara hao mawaziri wakuu wastaafu kwani ni final saying kwenye baraza LA mawaziri,kinga iondolewe uone kama hao mawaziri wakuu wastaafu watashitakiwa kwasababu walitekeleza maelekezo ya raisi kwa mujibu wa katiba waziri mkuu wala makamu wa raisi haruhusiwi kuipinga.
ccm wote wanaakili za kibshite....nani kasema ccm au chadema? Watz wanataka wote waliohusika na yy akiwemo kupitisha mikataba kwa dharura na kuendelea kuwaletea hasara kubwa watz washitakiwe akiwemo magufuli mwenyewe...Unaona jinsi gani Tanzania tumefikia kuwa na akili ndogo sana (akili ndogo mamlaka makubwa)? Watu tunaongelea kuwawajibisha viongozi kwa makosa makubwa yaliyotangulia, Speaker mzima, anatoa comment zisizo na mshiko kama hi!!! Kwani kama hao Mawaziri waliotangulia wana makosa kwa nini wasishitakiwe wawe CCM au upinzani?
Kwa nini mtu mzima kama Ndugai anadhani kila upnzani wakiongea ni kwa ajili ya kutetea maslahi yao na kukandamiza CCM? How can a person like Ndugai think in such an impotent manner?!? Labda matusi anayotukanwa yanastahili, kama kweli ametoa comment hama hiyo na yeye ni Speaker.
Yaani Ndugai anaona point ya kuwashitaki viongozi waliopita ni point dhidi ya CCM sio taifa? Aliyesema wastaafu waliohamia upinzani wasishitakiwe nani? Kwa nini unaleta uvyama kwenye comment zinazotolewa kwa maslahi ya taifa, na wewe ndio Speaker?
Kwa hili Ndugai amedhihirisha wazi hana uwezo, busara wala akili ya kuwa Speaker.