We mtu mbona hueleqeki. Supika ndo nani!!! We ndo wale malofa msiojua kuandika halafu mnadai mpatiwe ajira na serikali!!Supika na naibu supika bonge lililopita nao washtakiwe pia kwa kupitisha miswada yahovyo kabisa tenachapuchapu kwa hati ya dharura na kuwakimbiza nje wapinzani ili kupitisha kiulaini
Mtu mzima lakini akili umechanganya na mavi yakoLowasa na Sumaye vipi?
wenye akili tunaheshimu cheo na ofisi ndiyo maana tunapindisha kidogo kustahi heshima ya chombo ama cheo!! Mburula Kama wewe huwezi kuelewa maana unajua kunogesha sura na nywele siyo akili...We mtu mbona hueleqeki. Supika ndo nani!!! We ndo wale malofa msiojua kuandika halafu mnadai mpatiwe ajira na serikali!!
Hatutalalama wakamatwe woteeeeeee,,,mbwai,,,,mbwai inaitwa,,,,,,,Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.
----
Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia.
Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.
"Haiwezekani mzee wangu (Andrew) Chenge na (Nazir) Karamagi walipitisha mikataba hiyo bila Rais aliyekuwapo kufahamu. Kinga ya Rais kushtakiwa iondolewe ili wahojiwe," amesema Lijualikali.
Baada ya hoja hiyo ya Lijualikali inayofanana na ya Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Ndugai aliwakumbusha juu ya mawaziri wastaafu walionao kwenye chama chao.
"Mabadiliko mnayoyataka yakipitishwa na viongozi mlionao wakikamatwa msije mkalalamika tena," amesemaNdugai.
Chanzo: Mwananchi
kidogo leo umekonga moyo kama BAK 2014 ume "BARK" haswa!Wote tu waliohusika washtakiwe kama ni wa MACCM au waliohamia Chadema. Kama walihusika kwa namna moja au nyingine basi hakuna jinsi.
Sililiza wewe nyumbu!Bado uwezo wako wa kufikiri kama taifa moja ni mdg....
Kwahiyo kwakuwa Sumaye yuko Chadema asishitakiwe hata kama hana makosa.....?
Hoja ya Ndugai inalenga kuwafunika maraisi wastaafu,kwasababu leo ukimpeleka Sumaye au Lowassa mahakamani Mkapa au Kikwete wataumbuka Ndugai anapotishia kwamba walioko upande wenu watakuwepo,ie mawaziri wakuu wastaafu,ni kwamba anajua dhahiri shahiri Mkapa/Kikwete na CCM kwa ujumla wake lazima waumbuke,cjui umenipata bwana mdg......?
Ndugai bado hajapona île laana ya kumpiga mgombea mwenzake fimbo ya kichwa hadi akapoteza fahamu.Unaona jinsi gani Tanzania tumefikia kuwa na akili ndogo sana (akili ndogo mamlaka makubwa)? Watu tunaongelea kuwawajibisha viongozi kwa makosa makubwa yaliyotangulia, Speaker mzima, anatoa comment zisizo na mshiko kama hi!!! Kwani kama hao Mawaziri waliotangulia wana makosa kwa nini wasishitakiwe wawe CCM au upinzani?
Kwa nini mtu mzima kama Ndugai anadhani kila upnzani wakiongea ni kwa ajili ya kutetea maslahi yao na kukandamiza CCM? How can a person like Ndugai think in such an impotent manner?!? Labda matusi anayotukanwa yanastahili, kama kweli ametoa comment hama hiyo na yeye ni Speaker.
Yaani Ndugai anaona point ya kuwashitaki viongozi waliopita ni point dhidi ya CCM sio taifa? Aliyesema wastaafu waliohamia upinzani wasishitakiwe nani? Kwa nini unaleta uvyama kwenye comment zinazotolewa kwa maslahi ya taifa, na wewe ndio Speaker?
Kwa hili Ndugai amedhihirisha wazi hana uwezo, busara wala akili ya kuwa Speaker.