Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Inatia moyo.
Ila kwa nchi za ukanda wa Africa Mashariki ni Muujiza na ndoto.
Mafanikio ya mtu yeyote maishani huanza kwa kuwa na NDOTO zake.
Mfano akissema na kuamua kuwa sutaki umaskni na akajikita kwenye shughuli ya maana lazima NDOTO zake zitatimia.
NINAOTA watu kushitakiwa. Naota ndoto.
Na kuota si vibaya.
 
Wote tu. Wawe na maadili mema.
 
unakurupuka usiyo yajuwa uyo Lula da silva ni miongoni mwa ma rais wema ambao hawajawahi kutokea yote ayo ni siasa wanatama wampoteze mana wanajuwa atarudi kuwa raisi.
 
Mkuu, kwenye hiyo miradi mikubwa,UPIGAJI wa kutisha huweza kupitiamo
. Watch out!!!!
 
Kati ya maraisi waliotawala Brazil, Da Silver ni kati ya waliofanya makubwa kwa wananchi wake hasa sera za kukuza uchumi kupitia zao la kahawa. Pomoja na hayo,pia alikuwa mpigaji na anatakiwa kutumikia kifungo cha miaka 12
 
Mkuu nakuelewa sana. Katika mtazamo wangu juu ya Magufuli na tabia yake {Demeanour} ni kuwa alipoingia Madarakani alikuwa a athma ya KUJENGA nchi hii.

Na alikuwa na UCHUNGU mwingi sana kuona watu wakiishi katika shida na nchi ikiwa IMEBARIKIWA na raslimali zote za kila aina.

Uchungu huo ninaweza kuuita UCHUNGU MZURI wenye NIA njema.
Sasa katika uchungu huo MZURI HAKUTAKA DISTRACTION/ kuelekezwa kando na malengo YAKE.
Yaani aanze mambo YASIYO MUHIMU yama SIASA siasa ambayo kwake yeye aliona ndo sababu KUBWA zilizoifanya nchi HIIKUBAKI nyuma.

Ndo tamko kama hilo kwa wanasiasa AKAWAUSIA JAMANI ngojeni.

UKIANGALIA kwa makini alikuwa na POINTI.
Imagine baada ya uchaguzi wananchi waanze tena kuuziwa sera mbali mbali za mavyama hata KABLA ya miaka 5 haijafika.
Huku akifikiria kuwa amewaahidi Watanzania HAPA KAZI TU.
Akaona siasa kando TUJENGE
[
 
unakurupuka usiyo yajuwa uyo Lula da silva ni miongoni mwa ma rais wema ambao hawajawahi kutokea yote ayo ni siasa wanatama wampoteze mana wanajuwa atarudi kuwa raisi.
Huo ni mtazamo wako. FISADI ni FISADI tu mkuu. Usimteee.
 
unakurupuka usiyo yajuwa uyo Lula da silva ni miongoni mwa ma rais wema ambao hawajawahi kutokea yote ayo ni siasa wanatama wampoteze mana wanajuwa atarudi kuwa raisi.
Haya tupe yako unayoyajua.
 
Mkuu hapo umekosea. Heshima si utumwa. Ni vizuri tuiheshimu taasisi ya URAISI hata kama hukubalini naye.
Ni MTANZANIA mwenzetu na wala si hivyo usemavyo.
Tujadili hoja badala ya matusi na kubezana. Ama vipi mkuu?
Si lazima awe mhutu kweli lakini matendo yanaweza kuwa ya kuhutu. Hakuna huruma kwa watu na utu, mbaguzi etc. Hiyo ni satire
 
Mkuu anthropologically WAHUTU, WATUSI, na WA /TWA wote niwa watu wazuri sana. Nimekuwa Burundi na hata Rwanda pia.

Tatizo tu ni kuwa WAKOLONI ndo waliowapandikiza chuki miongoni mwao.
Wengine wakawafanya Mabwana na wengine Watwana. La sivyo ni watu WAZURI sana hayo makabila MATATU maana wote ni BANTU

Jambo jingine nililoliangalia zaidi ni kuwa wote WANA KIBURI sana na WENGI na WANAPENDA POMBE sana. na starehe.
Magufuli ni MSUKUMA HANA hata CHEMBE ya KIBURI cha hao uliowataja WARUNDI ama Wanyarwanda.
Kwa hiyo kumfanaisha na hao jamaa ni kumwonea kabisa.
I stand to be corrected though.
 
nilikuwa sijui kama magufuli ni msukuma, hivi chato ni wasukuma?bukoba pale kwa babu yake etc, kila mtu anaongea la kwake. ila mamake ndio msukuma. najua magufuli ni mtz lakini kabila huwa sielewi kama msubi, msukuma au mhaya. by the way kabila halina faida kwangu.
 
Si lazima awe mhutu kweli lakini matendo yanaweza kuwa ya kuhutu. Hakuna huruma kwa watu na utu, mbaguzi etc. Hiyo ni satire
Mbona mnasema WAHUTU na si WATUSI?
Who is better better between these two groups?
Your narrative on President Magufuli is totally WRONG.


Kwanza inaonyesha prejudice against HUTUS.
Kwa nini hukumfananisha na WATUSI?

Are TUTSIS more NOBLE than HUTUS???????

I am sorry sir you are being UNFAIR to HUTUS.
Ni binadamu kama wengine.
Pengine tusememe tu kuwa HARSH treatment walizopata kwa miaka mingi wakawa more defensive.
 
In SIMPLE TERM yeye ni MCHANGANYIKO kama vile wengi wa Watanzania tulivyo.

Mimi ni mchanganyiko wa kabila 5 ila Najitambulisha kwa kabila ambalo nilijikuta nimezaliwa humo.
Hivyo huwezi kuniita mimi si kabila hilo.
Sijui eti nianze kutafuta DNA ya Babu wa babu na Bibi wa mama yangu.
Huo si uungwana.
Anaweza akawa na upingifu wake kulingana na TEMPERAMENT alizozaliwa nazo.
Maana kila mtu ana zake. Mimi zangu nimchanganyiko .
 
Nashukuru unaelewa historia ya hao WAHUTU ila nikwambie kuwa ile ya "wa kimara wabomolewe" na "hawa wa mwanza itumike human face wasibomolewe" ni tabia ya kibaguzi na kamwe sio ya kisukuma.
Mimi nimekaa pia na wasukuma tangu udogo wangu.
Bado nashawishika ndg Tz tuna tatizo kubwa sasa kwa huyu rais ..

Ni swala la muda tu na wewe utanielewa.
Saivi huwezi kuelewa sababu bado una matumaini flani.
 
Lula was very smart President,but Sheria Ni msumeno wacha apambane na Hali yake
 
Niaamini. itafika mahali CHAMA cha CCM na WABUNGE wa vyama vingine kwa PAMOJA wataungana ili kukiondoa KIFUNGU cha IMMUNITY ya kutokushtakiwa kwa {sic}
you hapa ndo umenoa...mtukufu alisema acha wazee wapumzike coz wameifanyia mengi mazr nchi yetu na kwamba Yuko tayari kuwalinda!! Sijui Kama unajingine.
 
Mkuu nimekuelewa sana na wala sikupingi ni kubadilishana mitazamo na mawazo tu.
Ukimwangalia sana Magufuli kitendo alichofanya Mwanza HAKIKUWA cha UBAGUZI aliteleza katika hali ya upungufu wa kibinadamu.
Mara nyingi Magufuli hufanya maaamuzi mengine tata hasa ANAPOFURAHI sana kupita kiasi.
Na anataka instant results/Matokeo ya pao kwa papo.

Nafikiri wasaidizi wake wamemwelewa na hawana shida naye.

Maana anaweza kutoa tamko watu wakaanza kutazamana na kushangaa wakati yeye anawashangaa "MNASHANGAA NINI?"
Kulingana naye yeyeTAYARI kishamaliza na kufunga kazi!.Ukibaki unashangaa shauri yako.

Yaani sometimes anakuwa a bit emotional na impulsive/HATABIRIKI.
Na huo tu ndo udhaifu wake.

Ndo maana wengi hawakumwelewa alipotoa tamko hilo akiwa Mwanza as if Mwanza ndo Tanzania NZIMA.
Yeye alisema na kumaliza. Wengine mnashangaa yeye kaenda zake.

Hivyo ndo sisi wote tuliumbwa tofauti.
Kwa mfano hatuwezi kumfananisha Rais Magufuli na rais TRUMP wa Marekeni.

Yeye ndo basi tu. ANAFUTA LEO huyu, ANALETA MWINGINE ,KABLA HAJAKAA SAWA ANABADILISHA WASHAURI wake kila leo
Akienda mitandaoni ni kutukana wengine na HAJALI!!!

jAMANI afadhali Magufuli wetu tumvumilie ukilinganisha na TRUMP.
Sasa Trump anaaamka tu anasema "TUNAOONDOA majeshi SYRIA" Mshauri anamshauri ANAKATAA na kusema HAMNA KAZI nenda nyumbani.

Waziri wa masuala ya kigeni anamshauri kuhusu N/Korea na kutoa tamko.
Trump ANAMPINGA kupitia TWEETER na kusema hamna kazi.

Jamani AFADHALI MAGUFULI wetu hajatufikisha hapo jamani.
Rais wa Marekani ni mtu wa ajabu kati ya Marais wote waliowahi kutawala nchi hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…