Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Ndo hivyo kabisa mkuu.
UFISADI una sura za aina nyingi. Na lazima tuzitambue na tuziweke wazi.
 
Kwa katiba yetu haiwezekani labda wakati ukifika wa kuweka hilo unalotabiri. Kweli ndege tumeziona Je, vipi kipato cha mtu wa chini kokoje nacho
Unajua nini mkuu. Once UFISADI ukidhibitiwa. MALI inarudi kwa taifa na wananchi wanaanza kupata kipato na MISHAHARA MIZURI.
Kila hela inayoibiwa. Inamwibia mgonjwa hospitalini maana atakosa dawa. Huo ndo ukweli wa mambo.
 
Tena kwa staili hii ya sasa ya kukomoana na kulipizana visasi,kabisa na mimi naona ndiko tunakoelekea siku za usoni.
 
Kupanda na kuvuna ni Principle isiyobadilika.
 
Tena kwa staili hii ya sasa ya kukomoana na kulipizana visasi,kabisa na mimi naona ndiko tunakoelekea siku za usoni.
Wimbi na kimbunga ambacho hatijawahi kukiona tena.
Tusubiri tu wakati ndo utakaosema.
 
Mkuu hapo umekosea. Heshima si utumwa. Ni vizuri tuiheshimu taasisi ya URAISI hata kama hukubalini naye.
Ni MTANZANIA mwenzetu na wala si hivyo usemavyo.
Tujadili hoja badala ya matusi na kubezana. Ama vipi mkuu?
Mkuu jakuna asiyekubaliana na serikali hii,hata mimi nakubaliana nayo,tatizo ni pale panapotokea uonevu kwa mtu ywyote eti tu kwasababu amekosoa au amekuwa kinyume na nao,hapo tu ndipo penye shida.
 
Mkuu jakuna asiyekubaliana na serikali hii,hata mimi nakubaliana nayo,tatizo ni pale panapotokea uonevu kwa mtu ywyote eti tu kwasababu amekosoa au amekuwa kinyume na nao,hapo tu ndipo penye shida.
Nakubaliana nawe. Serikali haihitajiki kuwa allergic to criticisms/Yaani ikisemwa tu na kukosolewa kidogo basi yaja juu.
Hayo ni makosa sana.
Serikali inahitaji kuwa SIKIVU na Si KANDAMiZI.
Maana kwa kusikiliza ITAJIFUNZA mengi na KUREKEBISHA mengi. Huo ndo ukweli wa mambo.
 
Heshima Mkuu ni two way traffic. Kama aliyemo ndani ya Taasisi husika haheshimu taasisi husika usitegemee na yeye avune heshima. Mbona Baba wa Taifa Watanzania wengi bado wanamuheshimu na kumuenzi kwa miaka mingi sasa!?

Mkuu hapo umekosea. Heshima si utumwa. Ni vizuri tuiheshimu taasisi ya URAISI hata kama hukubalini naye.
Ni MTANZANIA mwenzetu na wala si hivyo usemavyo.
Tujadili hoja badala ya matusi na kubezana. Ama vipi mkuu?
 
Hii si mambo yanayohusiana na CHUKI. Mbona mkuu hili la MAFISADI kushitakiwa mbona linakuumiza sana?
Are you a beneficiary ?
On the contrary no. But I want to straighten the record. Another question?
 
Know yourself mine is question
Mkuu unaniuliza mimi?
Mimi ni mleta Mada na si Prosecutor.Na walasinyooshi kidole mtu kwa kumtaja jina lake
Mada yangu hailengi mtu yeyote in particular.[/QUOTE
 
Mkuu unaniuliza mimi?
Mimi ni mleta Mada na si Prosecutor.Na walasinyooshi kidole mtu kwa kumtaja jina lake
Mada yangu hailengi mtu yeyote in particular.
Also mine is quiz. I didn't mention you. But If ready you can answer it
 
Labda utawala wa chama dola uondolewe, other wise hakuna kitu kama hicho
Yawezekana lakini si kwa viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani waliopo kwa sasa. Kama wameshindwa kusimamia matumizi ya ruzuku za vyama vyao, watakuwa na ujasiri wa kuchukua hatua kwa hao watuhumiwa!!
 
Mkuu hapo umekosea. Heshima si utumwa. Ni vizuri tuiheshimu taasisi ya URAISI hata kama hukubalini naye.
Ni MTANZANIA mwenzetu na wala si hivyo usemavyo.
Tujadili hoja badala ya matusi na kubezana. Ama vipi mkuu?
Ninyi kuwaona wote wanaowapinga kuwa si raia una ni sawa?
Kwenye JMT raia wote tunatakiwa tiwena hadhi sawa bila ya kuwa na madaraja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…