Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Utetezi wa kijinga kabisa. Toka mwanzo nawaambia hili jambo kuna mahali linafanywa kwa maslahi ya taifa, lakini inapokuja suala la kuchukua hatua siasa zinachukua mkondo wake.

Pia narudia tena, katika kosa ambalo cdm watalijutia ni wao kumchukua Sumaye na hasa Lowassa, kibaya zaidi cdm wamekuwa na kigugumizi kwenye mambo mengi kwani wamejivika madoa ambayo hawana uwezo wa kuongea lolote wakaeleweka. Kila wakikosoa au kuleta hoja wanaambiwa mmekumbatia wachafu chamani. Kilichobakia ni wao kuwatosa ama kuanzishwa chama kingine cha upinzani kitakachopata kuungwa mkono na walio wengi ili kutoa ushindani. Kinyume na hapo huyo domo zege Lowasa ni kujipiga kitanzi tu.
Na kosa ambalo ccm inajutia ni kubaki na mkapa,kikwete pamoja na waziri wa zamani pombe magufuli,na wabunge wote wanaopitisha hati za dharura harakahara hususan Ndugai.
 
Wote tu waliohusika washtakiwe kama ni wa MACCM au waliohamia Chadema. Kama walihusika kwa namna moja au nyingine basi hakuna jinsi.
Hawa wapuuzi wanafikiri ati kwa kuwa wamehamia CHADEMA basi watatetewa! La hasha! Kama principled political party, naamini CHADEMA haina shida na kina Lowassa na Sumaye kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria kama haja ikitokea! Haya maCCM yanataka kujificha kwenye kivuli cha kina Lowassa na Sumaye!
 
Na kosa ambalo ccm inajutia ni kubaki na mkapa,kikwete pamoja na waziri wa zamani pombe magufuli,na wabunge wote wanaopitisha hati za dharura harakahara hususan Ndugai.

Mkuu huko kwenye upande wa ccm huko siko wala sijawahi kuwepo. Naiongelea cdm kwani ndio niliyoipigania na kuijua. Hiyo ilikuwa na kupata ushawishi na nguvu bila kuwepo Lowassa au Sumaye. Leo inatia simanzi kuona haiba na nguvu ya chama kupotea kutokana uwepo wa hao jamaa ambao hawajawahi kuwa na mchango wowote.
 
Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.
----
Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia.

Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

"Haiwezekani mzee wangu (Andrew) Chenge na (Nazir) Karamagi walipitisha mikataba hiyo bila Rais aliyekuwapo kufahamu. Kinga ya Rais kushtakiwa iondolewe ili wahojiwe," amesema Lijualikali.

Baada ya hoja hiyo ya Lijualikali inayofanana na ya Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Ndugai aliwakumbusha juu ya mawaziri wastaafu walionao kwenye chama chao.

"Mabadiliko mnayoyataka yakipitishwa na viongozi mlionao wakikamatwa msije mkalalamika tena," amesemaNdugai.


Chanzo: Mwananchi
Kama nao walihusika acha sheria ifuate mkondo wake. Haijalishi kama wako CDM au CCM. Naona Ndugai anataka kufunika kombe ili mwanaharamu apite. Hapa naona anataka kulinda watu fulani. Kila mtu abebe msalaba wake.
 
Hao ndio viongozi wa taifa ambao ukiwasemea maovu yao Maxence Melo na timu yake wanakutembezea ban. Matakataka kama hayo yapo mengi sana kama limakonda, limwiguru, lisilinde na mavimavi yote yaliyoko huko mbele kwa mbele.
 
Kinachowauma chadema ni kwamba kila mti wanaogusa, ukiangushwa unaangukia hadi nyumba yao!
Bado uwezo wako wa kufikiri kama taifa moja ni mdg....

Kwahiyo kwakuwa Sumaye yuko Chadema asishitakiwe hata kama hana makosa.....?

Hoja ya Ndugai inalenga kuwafunika maraisi wastaafu,kwasababu leo ukimpeleka Sumaye au Lowassa mahakamani Mkapa au Kikwete wataumbuka Ndugai anapotishia kwamba walioko upande wenu watakuwepo,ie mawaziri wakuu wastaafu,ni kwamba anajua dhahiri shahiri Mkapa/Kikwete na CCM kwa ujumla wake lazima waumbuke,cjui umenipata bwana mdg......?
 
Washitakiwe tu wote hakuna kujali cha nani wala nani na yupo wapi,ilimradi alishiriki ashtakiwe tu ..... lkn ss cha kujiuliza sijui tutabak na nani maana na alielianzisha sakata inabid na yy ashtakiwe coz alipitisha hiyo miswada akiwa mbunge na kushiriki kama waziri ... collective responsibility inamuhusu na yy kinga iondolewe awekwe kolokoloni
 
Unaona jinsi gani Tanzania tumefikia kuwa na akili ndogo sana (akili ndogo mamlaka makubwa)? Watu tunaongelea kuwawajibisha viongozi kwa makosa makubwa yaliyotangulia, Speaker mzima, anatoa comment zisizo na mshiko kama hi!!! Kwani kama hao Mawaziri waliotangulia wana makosa kwa nini wasishitakiwe wawe CCM au upinzani?

Kwa nini mtu mzima kama Ndugai anadhani kila upnzani wakiongea ni kwa ajili ya kutetea maslahi yao na kukandamiza CCM? How can a person like Ndugai think in such an impotent manner?!? Labda matusi anayotukanwa yanastahili, kama kweli ametoa comment hama hiyo na yeye ni Speaker.

Yaani Ndugai anaona point ya kuwashitaki viongozi waliopita ni point dhidi ya CCM sio taifa? Aliyesema wastaafu waliohamia upinzani wasishitakiwe nani? Kwa nini unaleta uvyama kwenye comment zinazotolewa kwa maslahi ya taifa, na wewe ndio Speaker?


Kwa hili Ndugai amedhihirisha wazi hana uwezo, busara wala akili ya kuwa Speaker.
Ni dhahiri spika huyu hafai kuendelea na kazi hiyo. Anatakiwa ajiuzulu. Waliotufikisha hapa wote wahijiwe na kama kuna ushahidi wa maovu yao (kutenda au kutokutenda) sheria ichukue mkondo wake. Simuelewi kabisa Ndugai, amepwaya.
 
Ameongea vizuri.
Jibu lake ni kwamba hakuna atakayelalamika.
Kamata wote waliousika kwenye mikataba mibovu ili iwe fundisho kwa wengine.
Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.
----
Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia.

Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

"Haiwezekani mzee wangu (Andrew) Chenge na (Nazir) Karamagi walipitisha mikataba hiyo bila Rais aliyekuwapo kufahamu. Kinga ya Rais kushtakiwa iondolewe ili wahojiwe," amesema Lijualikali.

Baada ya hoja hiyo ya Lijualikali inayofanana na ya Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Ndugai aliwakumbusha juu ya mawaziri wastaafu walionao kwenye chama chao.

"Mabadiliko mnayoyataka yakipitishwa na viongozi mlionao wakikamatwa msije mkalalamika tena," amesemaNdugai.


Chanzo: Mwananchi
 
Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.
----
Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia.

Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

"Haiwezekani mzee wangu (Andrew) Chenge na (Nazir) Karamagi walipitisha mikataba hiyo bila Rais aliyekuwapo kufahamu. Kinga ya Rais kushtakiwa iondolewe ili wahojiwe," amesema Lijualikali.

Baada ya hoja hiyo ya Lijualikali inayofanana na ya Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Ndugai aliwakumbusha juu ya mawaziri wastaafu walionao kwenye chama chao.

"Mabadiliko mnayoyataka yakipitishwa na viongozi mlionao wakikamatwa msije mkalalamika tena," amesemaNdugai.


Chanzo: Mwananchi

Tujiulize swali moja tu, hivi kama sio Magufuli kuwa rais, CCM wangefanya anachofanya Magufuli?? Niongezee undani wa swali, je baada ya Magufuli CCM wataendeleza legacy ya Magufuli?, au tuongezee zaidi, je ni kweli kwamba CCM inamuunga mkono Magufuli kutoka mioyoni? je walimuunga mkono alipokua waziri?

Hili ni swali moja tu japo lina vipengele, na ukijibu swali hilo hapo juu kwa IQ ya kutosha na bila Idiocracy utagundua tu kuwa hii ni nchi ya mazuzu....Idiocratic!!!! na Ndugai ni zuzu namba moja.
 
Tuna lisipika la hovyo hovyo sijui ni kutokana na ugonjwa wake alionao?maana anatumia vidonge tazama mashavu yake yalivyovimba ila ugonjwa ule haujifichi hahahaha
Jana alivyosema kuna mikataba ya hovyo nikashangaa.. Uwezo wa kuitisha hiyo mikataba kwa mamlaka yake ya Uspika anao.
 
Wameanza kutisha watu sio, wao si wakamate kama kweli wanaowaona ni wezi hasa ikizingatiwa kuwa mahakama ya mafisadi imeshafunguliwa.
 
Mwenyekiti mao anakazi kubwa sana,alafu kwa mawazo na mtizamo huo wa spika unategemea hiyo mikataba inayopelekwa bungeni itafanyiwa kazi kweli, maana anaonyesha wazi kwamba,kitakachofanyika ni kuakikisha waliohusika na kutetewa maadamu ni wana ccm
 
Kwanini tuanze kuangalia nani na nani wanapaswa kushtakiwa au watapata athari badala ya kila mtu kubeba mzigo wake?
kama tumramua kuonfoa uozo kwanini tubague.
 
Cha msingi na rahisi ni kwa kuwa sheria iliyopo hairuhusu marais wastaafu kuguswa,ilitakiwa mawaziri wakuu wastaafu wa wakati huo nao wafuatiliwe kwa karibu,manake haiwezekani Waziri ashughulike na jambo nyeti na kubwa bila uelewa wa waziri mkuu,tena waziri mkuu ana nafasi nzuri zaidi ya kurekebisha fyongo za waziri wake kuliko hata Rais....(waziri mkuu yuko bungeni ambamo miswada hupita sambamba na mawaziri wake)
 
Eti mtoto katishwa kuchapwa viboko kisa kalamba sukari basi anaropoka eti nitawataja na wenzangu niliolamba pamoja nao ile sukari
 
Back
Top Bottom