Kinga wanayokwenda kuwekewa Polisi 'undercover' kwenye Sheria inaweza ikahalalisha Polisi kufanya uhalifu dhidi ya binadamu kama Mtwara?

Yule dogo kule mtwara alikua muhalifu? Lakini unapaswa kufahamu undercover Hawa wakiwa wanafanya uchunguzi huchukua hadi raia wema ili kuwasaidia uchunguzi.
Mfano yakitokea mauaji mtaani kwako, wanaweza kukubeba wewe pia ili wakuhoji. Na hapo kwenye kuhoji wanaweza kukutendea uhalifu
 
Hapana kwakweli. Hii ikipita ni hatari sana. Tunajijua sisi ngozi nyeusi once kunapokuwa na loophole. Sheria ni vema ikaendana na hulka na tabia ya jamii husika. Fikiria tu kwasasa hivyo sheria haipo lakini kuna rafu nyingi sana.
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…