Kingo za daraja la Tanzanite zimegongwa

Kigamboni bridge hakuna Altezza?
 
Daaah yaani kilometa 1 tuu imekula zaidi ya bilioni 240??? Wakati huo huo kuna mikoa bado haijaunganishwa kwa lami???
Hata daraja la kigogo-busisi ni mradi wa ubinafsi kwasababu ni kwao. Unatumia 700 Billion kujenga kilomita 3.2? Ndani ya nchi iliyojaa shida km hii? Watanzania na vyeti vyao wanahahaha mitaani wanatukanwa kila aina ya matusi. Yule atalaaniwa mpaka vitukuu vyake
 
Cc Secret ID
 
Tutaambiwa wananchi tulinde kingo
 
Noma πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nikikumbuka mwaka 1986 nikiwa masomoni havard nilipata kutembelea brooklyn nikapita kwa lile daraja lao nikaambiwa linatimiza miaka 100 at that time, nikiangalia na hizi picha za daraja letu halina ata chrismas tatu mtaani na kila nikifikilia uharibifu unafanywa na vijana waendesha alteeza za mwaka 1996 naumia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…