Kingunge: Bila tume huru, wapinzani wasahau kuingia Ikulu

Kingunge: Bila tume huru, wapinzani wasahau kuingia Ikulu

Watanzania wanatakiwa kuelewa hilo waache ushabiki tu waelewe ukweli kabisa ndio huo

Hata ukiangalia issue inayoendelea kibamba kwa Mkurugenzi unapata picha tayri
 
Tushinikize tupate katiba mpya, hiyo ndio dawa. Hii ya kusubiri mwaka wa uchaguzi unafika ndio watu wanakumbuka katiba naiona kama ni unafiki tu.

Tukianza kudai katiba mpya kwa nguvu mapema baada ya ccm kufanya figisu kwenye uchaguzi hata mataifa wafadhili wanaonyenyekewa na huu utawala lazima watakuwa upande wetu na ccm ipende isipende lazima wataachia na katiba mpya itapatikana.

Tatizo tunachukulia katiba kama mali ya serikali ambayo rais anabadilisha vipengele vyake ikimpendezea tu kitu ambacho si kweli kabisa.

Ni kweli kwa muundo wa hii tume inavyoundwa wapinzani wanachomokea wapi??
 
Wacha kulia, upinzani wako tayari kuchukua majimbo, kazi anayoifanya Lissu CCM hawana hamu nae.
 
Nakuunga mkono na kuongezea hoja zifuatazo:
1. Tume na wasimamizi wa uchaguzi kwenye vituo vya kupiga kura wote ni makada wa CCM. Kwa hiyo hawatakubali kuona chama chao kikigaragazwa na wapinzani.
2. Kauli iliyotolewa na M/kiti wa CCM ambaye ni mgombea urais ya kwamba: .."Unapewa mshahara mkubwa, gari nzuri, n.k; halafu utangaze mpinzani kashinda".. bado imesimama na haijakanushwa.
3. Kifungu cha kanuni za maadili ya uchaguzi kwamba siyo lazima mawakala wa vyama kwenye vituo vy kupigia kura kupewa nakala za matokeo inaashiria na kuhalalisha udanganyifu.
4. Kamanda Siro ameagiza watu kutolinda kura zao kituoni. Hii inaruhusu kura kuibiwa au kuharibiwa.
 
Back
Top Bottom