Kingunge: Bila tume huru, wapinzani wasahau kuingia Ikulu

Kingunge: Bila tume huru, wapinzani wasahau kuingia Ikulu

Uzuri ni kuwa hao viongozi wanategemea kura zetu kupata hayo madaraka, ni vyema wakajikita kuhakikisha kuna kuwa na tume huru ya uchaguzi, maana sioni mtu mjinga wa kwenda kupanga mstari kisha kwenye matokeo anatangazwa mtu tofauti na idadi ya kura. Naona umetoa mfano wa ajira, kwani hata hiyo ajira utaifanya ukiwa huna uhakika wa kulipwa malipo stahiki?
Tatizo ni kwamba (kipato) malipo yao yameunganishwa na idadi ya wabunge kwenye chama husika.
Wabunge huwezi kuwapata bila kushiriki uchaguzi. (hata kama uchaguzi wenyewe ni batili)
Hapo ndipo mtego ulipo.
 
Tatizo ni kwamba (kipato) malipo yao yameunganishwa na idadi ya wabunge kwenye chama husika.
Wabunge huwezi kuwapata bila kushiriki uchaguzi. (hata kama uchaguzi wenyewe ni batili)
Hapo ndipo mtego ulipo.

Uko sahihi, sasa kama idadi ya wapiga kura ndio inayokupa wabunge, unawezaje kukubali kuendelea kushiriki kwenye uchaguzi ambao ni dhahiri tume haiko huru kukutangaza iwapo umeshinda? Na hilo la kwamba tume ya uchaguzi imeingia hofu kutokana na matumizi mabaya ya madaraka ya rais liko wazi mno. Ni wendawazimu kuendelea kushiriki uchaguzi ambao dhahiri mshindi atatangazwa kwa matakwa ya rais, na sio ushindani.
 
Wale wasiofahamu wanafikiri kudai tume huru ya uchaguzi au kudai katiba mpya ni hoja za wapinzani .Wapo ambao hawajatambua kuwa katiba mpya iliyonzuri inamugusa kila mtanzania kama sio leo kesho yaweza kukugusa.Wanakaa kimya wasijekuvurugiwa masirai yao
Tume huru ya uchaguzi ndiyo inaleta viongozi weledi,wenye hekima wasio ongoza kwa hira na chuki wanaongoza kufuata sheria hawaabudu unafiki
 
Uko sahihi, sasa kama idadi ya wapiga kura ndio inayokupa wabunge, unawezaje kukubali kuendelea kushiriki kwenye uchaguzi ambao ni dhahiri tume haiko huru kukutangaza iwapo umeshinda? Na hilo la kwamba tume ya uchaguzi imeingia hofu kutokana na matumizi mabaya ya madaraka ya rais liko wazi mno. Ni wendawazimu kuendelea kushiriki uchaguzi ambao dhahiri mshindi atatangazwa kwa matakwa ya rais, na sio ushindani.

Mkuu umejitahidi sana kueleza kwa ufasaha. Ni ujinga mkubwa wa viongozi hao wa upinzani kwenda kushiriki uchaguzi wanaojuwa kuwa hata wakishinda hawatatangazwa. Tena ni upumbavu kabisa.
Wagomee kabisa kabisa, tena wote wajiitao wapinzani. Wakitokea wajiitao wapinzani na kutangaza kushiriki (puppets) watueleze kwao Tume haina maana? Na majibu yasipoeleweka basi wakatafute makazi ndani ya kambi za Polisi na jeshi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dalili kama issue ya Tume Huru ya uchaguzi vyama vya upinzani wanataka kuiweka pembeni na kuzungumzia petty issues kama ongezeko la vituo na blabla kibao.

Nadhani sasa tuwaambie vyama vya upinzani kwa pamoja kuwa tumechoka na nyimbo, mamalamiko na kususiana kusiko na mwisho tunataka Tume huru tuu, maana hiyo ikiwepo mambo hayo ya vituo na mengine hayatakuwepo!

Sasa mheshimiwa Mbowe, Zitto, Maalimu, Mbatia, Lissu, Dovutwa nk achaneni na mengine piganieni Tume huru la sivyo bora na nyie tuwasusie tuiache nchi iliwe tuu na wachache hao ccm labda mpaka itakapotokea kizazi kingine kikaamua kutumia njia nyingine ya kuwaondoa.

Vikao vianze kwa makatibu wakuu wa vyama, iundwe secretariate ya kupanga mkakati kisha viongozi wakuu mkishirikisha asasi za haki za binadamu kulipigania hilo kwa pamoja.

Hivi hao viongozi nilio wataja hapo juu wakifikia mahali wameitisha press kwa pamoja au mkutano mkubwa wa hadhara pamoja mnadhani nini itakuwa repercussion yake kwa serikali, CCM na hata jumuia ya kimataifa?

Inaonekana propaganda ya CCM kuwa wengine hawarudi bungeni imewachanganya sana mpaka mnaona wao ndio wapiga kura!

Tume huru ikiwapo wabunge wazuri wa CCM watarudi na wazuri wa upinzani wataingia na ikiwezekana utawala unaotakiwa na sisi wananchi ukaingia madarakani.

Sasa ni eitha Tume huru au na nyie tuwasusie basi!

Sent using Jamii Forums mobile app

Naunga mkono hoja 100%.
 
Anzeni tu kujikanganya, mkipata kura tano msiseme mmeibiwa
Suala la tume mlitakiwa mlianze mara bada ya uchaguzi wa 2015.
Mnakurupuka leo na kujazana ujinga wa kususa,nyie suseni tu,sie ccm tunaingia uchaguzini 100 kwa 100
Mkuu,
Nyie kuleni tu! ukweli ni kwamba matokeo mnayo nyinyi mmeshayapanga, kushiriki kwa wapinzanini au kutokushiriki haiongezi wala haipunguzi. Kushiriki kwao kutawahalalishia nyinyi CCM, uporaji wenu kuwa wa halali!
 
Kuna dalili kama issue ya Tume Huru ya uchaguzi vyama vya upinzani wanataka kuiweka pembeni na kuzungumzia petty issues kama ongezeko la vituo na blabla kibao.

Nadhani sasa tuwaambie vyama vya upinzani kwa pamoja kuwa tumechoka na nyimbo, mamalamiko na kususiana kusiko na mwisho tunataka Tume huru tuu, maana hiyo ikiwepo mambo hayo ya vituo na mengine hayatakuwepo!

Sasa mheshimiwa Mbowe, Zitto, Maalimu, Mbatia, Lissu, Dovutwa nk achaneni na mengine piganieni Tume huru la sivyo bora na nyie tuwasusie tuiache nchi iliwe tuu na wachache hao ccm labda mpaka itakapotokea kizazi kingine kikaamua kutumia njia nyingine ya kuwaondoa.

Vikao vianze kwa makatibu wakuu wa vyama, iundwe secretariate ya kupanga mkakati kisha viongozi wakuu mkishirikisha asasi za haki za binadamu kulipigania hilo kwa pamoja.

Hivi hao viongozi nilio wataja hapo juu wakifikia mahali wameitisha press kwa pamoja au mkutano mkubwa wa hadhara pamoja mnadhani nini itakuwa repercussion yake kwa serikali, CCM na hata jumuia ya kimataifa?

Inaonekana propaganda ya CCM kuwa wengine hawarudi bungeni imewachanganya sana mpaka mnaona wao ndio wapiga kura!

Tume huru ikiwapo wabunge wazuri wa CCM watarudi na wazuri wa upinzani wataingia na ikiwezekana utawala unaotakiwa na sisi wananchi ukaingia madarakani.

Sasa ni eitha Tume huru au na nyie tuwasusie basi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena siyo tume huru tu , ni TUME HURU KWA GHARAMA YOYOTE
 
Kuna dalili kama issue ya Tume Huru ya uchaguzi vyama vya upinzani wanataka kuiweka pembeni na kuzungumzia petty issues kama ongezeko la vituo na blabla kibao.

Nadhani sasa tuwaambie vyama vya upinzani kwa pamoja kuwa tumechoka na nyimbo, mamalamiko na kususiana kusiko na mwisho tunataka Tume huru tuu, maana hiyo ikiwepo mambo hayo ya vituo na mengine hayatakuwepo!

Sasa mheshimiwa Mbowe, Zitto, Maalimu, Mbatia, Lissu, Dovutwa nk achaneni na mengine piganieni Tume huru la sivyo bora na nyie tuwasusie tuiache nchi iliwe tuu na wachache hao ccm labda mpaka itakapotokea kizazi kingine kikaamua kutumia njia nyingine ya kuwaondoa.

Vikao vianze kwa makatibu wakuu wa vyama, iundwe secretariate ya kupanga mkakati kisha viongozi wakuu mkishirikisha asasi za haki za binadamu kulipigania hilo kwa pamoja.

Hivi hao viongozi nilio wataja hapo juu wakifikia mahali wameitisha press kwa pamoja au mkutano mkubwa wa hadhara pamoja mnadhani nini itakuwa repercussion yake kwa serikali, CCM na hata jumuia ya kimataifa?

Inaonekana propaganda ya CCM kuwa wengine hawarudi bungeni imewachanganya sana mpaka mnaona wao ndio wapiga kura!

Tume huru ikiwapo wabunge wazuri wa CCM watarudi na wazuri wa upinzani wataingia na ikiwezekana utawala unaotakiwa na sisi wananchi ukaingia madarakani.

Sasa ni eitha Tume huru au na nyie tuwasusie basi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao uliowataja wote ni mawakala wa CCM....... Ukimtoa Tundu Antipas Lisu!
 
CCM waelewe, hakuna anayepinga wao kama wanashinda katika uchaguzi huru na haki. Wakishinda namna hiyo hata kwenye kuapishwa watu watakaa siti za mbele kushuhudia.
Lakini kujitangaza ushindi kwa wizi, ulaghai, kupora kura, mazingira ya upendeleo na uchafu mwingine hiyo sasa NEVER. tena NEVER ya herufi kubwa.
Ushindi huo una tofauti gani na mapinduzi? Kupora uchaguzi ni kipimo cha juu kabisa cha kuwadharau wananchi nao wanapaswa kushikisha adabu wahusika.
Turudie, Mbowe,Zitto,Lissu, Maalim na wengine. Tafadhalini mengine yote acheni sasa tuone mkifanya kazi pamoja na kudai Tume huru. Watawakamata tutapiga kelele, watawanyanyasa tutapiga kelele hadi dunia yote isikie.
#TumeHuruLazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashangaa sana. Yani kwa miaka mitano Magufuli atakuwa amekaa madarakani lkn bado hawezi kukabiliana na vyama vingine kwenye uchaguzi huru na haki....!!!!

Sasa hii midege ameinunua ya nini. Hana kabisa positive development programme that can help change the peoples' lives for the better.

Chini ya utawala wake amekuja na sera za hovyo ambazo zimeua kabisa sector ya madini, biashara na elimu vile vile, hadi sasa uchumi umeporomoka ukuaji toka 7% hadi 4% tu kwa mujibu wa mashirika ya fedha duniani.
 
Uchaguzi umekaribia na sasa kilio kikubwa ni kuwa na tume huru ya uchaguzi. Na kwa muda mchache uliobaki kutengeneza tume huru inayotakiwa ni kama ndoto. Sijui wapinzani walikuwa wapi toka 2015! Ni dhahiri kuwa wanajua wameshashindwa kiti cha urais. Maana ni nani ambae ataweza kupambana na JPM alafu ashinde?

Hawana imani na NEC lakini kila chama huweka mawakala ili kuhakikisha hamna wizi au faulo. Aliyepo madarakani amejijengea imani kwa wananchi kwa kuziba mianya ya ufisadi, miradi mikubwa kama SGR,JNHHP,daraja la wami na busisi. Ni baadhi ya mifano ambayo itamfanya ashinde kwa kishindo.

Hata kama tuwe na tume huru ni ndoto upinzani kushinda. Wanataka kutafuta sababu za kujitetea(wameshasambaratika)
 
Habar Wana jamiforums
Polen kwa majukum yenu ila mimi nilikua na swal kidogo ambalo peke yangu siwez kulipatia majibu na swal Hilo ni kama kichwa cha habar kinacho jieleza TUME HURU WANAYO ITAKA CHADEMA NI IPI
Nauliza kutaka kujua kama kweli hii tume huru iliopo Sasa sio huru kwa sababu gani jibu ni hili apa
Wanadai tume iliopo sasaiv sio huru kwa sababu tu ni tume ilio pangwa na chama tawala na wanadai imewekwa kulinda maslai ya chama cha ccm

Je ni ipi tume huru wanayo itaka chadema mana serekal ni ya ccm sasaiv je wanataka tume iundwe vip yani au wanataka tume iwe huru kwamba isifungamane na serekal ambayo ni ya ccm na itawezekana vip sababu kila taasisi tanzania ipo chin ya serekal kasoro wabunge tu sababu ndio wanachaguliwa na wananch najiuliza tume huru tunaweza ipateje
Au chadema wanataka washiriki katika kupanga tume huru? Icho kitu hakiwezekan nafikir hata chadema wao hawawez kukubal kushirikiana na ccm pind watakapo chukua nchi



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila tume huru ya uchaguzi hakuna kupiga kura wala hakuna haja ya kuanza mchakato wa uchaguzi,tayari tunamkoloni mweusi,huyu ameshajihakikishia ushindi,na hataki kubughudhiwa,Kwa vitendo vinavyofanywa na wanaccm,hakuna haja ya kushiriki huo uchaguzi Kwa tume hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo Chadema mnasusia?

Kuna vyama vingi vya Siasa vitashiriki

nyie mmeona mmechokwa ndio mnakumbuka tume huru!

Hiyo hiyo tume imekuwa ikiwatangaza kina Mbowe toka 95
 
Na ndio mchungaji mtikila alitaka iwe hivi lakini ukawa na vyama vingine wakaona watashinda.

Si Chadema wala chama chochote hakiwezi kuitoa ccm kwa njaa walizonazo.
 
Mpinzani hata awe mzuri kiasi gani. Hata awe unapendwa kiasi gani. Hata awe anakubalika kiasi kwa nchi ya Tanzania hawezi kushinda uchaguzi kwa kura kupitia tume ya uchaguzi iliyopo sasa.

Anaenda kwenye mechi unateam nzuri sana umejipanga vizuri ila huna refa (refa hayuko upande wako) huwezi kushinda kwa kura

Kwa hiyo Tundu Lissu hawezi kushinda uchaguzi wa 2020 na kuwa raisi wa Tanzania na sababu kuu ni moja tu:

1. Hakuna tume huru ya uchaguzi
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi yupo upande wa CCM

2. Viongozi wengi waliokwenye tume ya uchaguzi wanachaguliwa na Rais
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi tena
Wakurugenzi wote
Hata hawa ajira za usimamizi uchaguzi zimekuwa kificho sana sana

Upinzani wanaweza kushinda tu kwa kukiwasha bila hivyo no way out

Hawatashinda Upinzani hautashinda
 
Back
Top Bottom