Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Wasalaam kumekuwepo tetesi na maneno lukuki kuhusu mh membe, napenda kuweka wazi hapa kwa tume hii ya uchaguzi ambayo inawajibika kwa mwenyekiti wa ccm hata akishuka malaika kutoka mbinguni kugombea aidha urais au ubunge bado ccm itashinda kwa kishindo kikuu. Muundo wa tume kwa asilimia mia moja imejaa makada watiifu wa ccm, na maelekezo walishapata kwamba wasije mtangaza mpinzani kashinda.( hata kama kashinda kweli)
Kuelekea uchaguzi mkuu 2020 hakika nawaambia kwa tume hii ya uchaguzi hakutakua na mbunge hata mmoja kutoka vyama vya upinzani atakaeshinda kiti cha ubunge. Waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu na mawingu yameshatanda mwenye macho anaona, hakuna chama cha siasa kitachotoa mbunge wala diwani mwaka 2020. Anaebisha ni haki yake abishe tu ila 2019/2020 hakutakua hata na mwenyekiti wa serikali za mitaa atakaetangazwa kushinda uchaguzi hata km ameshinda kweli.
Mungu ibariki Tanganyika.
Kuelekea uchaguzi mkuu 2020 hakika nawaambia kwa tume hii ya uchaguzi hakutakua na mbunge hata mmoja kutoka vyama vya upinzani atakaeshinda kiti cha ubunge. Waswahili wanasema dalili ya mvua ni mawingu na mawingu yameshatanda mwenye macho anaona, hakuna chama cha siasa kitachotoa mbunge wala diwani mwaka 2020. Anaebisha ni haki yake abishe tu ila 2019/2020 hakutakua hata na mwenyekiti wa serikali za mitaa atakaetangazwa kushinda uchaguzi hata km ameshinda kweli.
Mungu ibariki Tanganyika.