Tetesi: Kingunge kurejea CCM wiki hii?

Tetesi: Kingunge kurejea CCM wiki hii?

Porojo za serikali tatu hazijawai kumuacha MTU salama@slow slow
 
Kingunge hakuwahi kutoka ccm...hakujiunga na CDM ...yeye alikuja kuweka nguvu tu kwa lowassa ambaye aliamini kuwa kiongozi bora kuliko magufuli....
Hivyo anarejea wapi sasa ?
Tuseme anataka kurudi kwao ok fine ...hio itakuwa unafiki mkubwa wa ccm kumpokea...watakuwa watu wa ajabu sana kwani mtakumbuka hivi majuzi iliwafukuza wote walokua na msimamo wa kingunge hawa kina Sophia Simba na wenzake...hivyo hili litaonesha kuwa hawana msimamo.
nyie mlikua na nsimamo kumpokea lowasa? na badae sumaye??....nyie watu bana sijui mkoje

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kwa mujibu wa polepole kuna mzito atarudi huko....ruma z mjini ni lowassa atarudi kwa sharti agombee urais magu akae pembeni
 
kwani ccm huwa anapokea makapi au matapishi, wacha tuone, si walisema wanaotoka ccm kwenda vyama vingine ni makapi, scrapper au oil chafu, sasa wacha tuone watakavyopokea oil chafu
 
kwani ccm huwa anapokea makapi au matapishi, wacha tuone, si walisema wanaotoka ccm kwenda vyama vingine ni makapi, scrapper au oil chafu, sasa wacha tuone watakavyopokea oil chafu
Walimpokea wasira juzi wakampokea mwapachu wakampokea slaa wengi tu wapowapokea aka.matapishi

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kingunge hakuwahi kutoka ccm...hakujiunga na CDM ...yeye alikuja kuweka nguvu tu kwa lowassa ambaye aliamini kuwa kiongozi bora kuliko magufuli....
Hivyo anarejea wapi sasa ?
Tuseme anataka kurudi kwao ok fine ...hio itakuwa unafiki mkubwa wa ccm kumpokea...watakuwa watu wa ajabu sana kwani mtakumbuka hivi majuzi iliwafukuza wote walokua na msimamo wa kingunge hawa kina Sophia Simba na wenzake...hivyo hili litaonesha kuwa hawana msimamo.
Leo mnamkataa kisa kuna tetesi?
Nyumbu bwana na mkumbuke mkirudi lumumba mshaambiwa mikia yenu itakatwa ili msiwe km nyumbu wa Ufipa.

sweeper
 
Aliondoka jahazini kwenda kwenye kaboti, kaboti kakazidiwa upepo na mawimbi, jahazi linasepa, akirudi poa kwa ushauri ili nafikiri wa kijani wanahitaji damu changa machachari wanaojiamini...
Labda ndio Polepole anasema wanajiandaa kumpokea kiongozi mkubwa wa upinzani wiki hii(amesahau kuwa ni mwenzao bado)kumbe watanzania wanakumbuka kuwa hajawahi tioka na kuhamia chama chochotea!
 
Back
Top Bottom