digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Ndio jamaa ana njaa na rasilimali zetuKwa hiyo Lowasa alipohamia chadema ilikuwa njaa ??
Post sent using JamiiForums mobile app
Post sent using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio jamaa ana njaa na rasilimali zetuKwa hiyo Lowasa alipohamia chadema ilikuwa njaa ??
Post sent using JamiiForums mobile app
Alijitoa kwny Ukatoliki akiwa Kidato cha Pili baada ya kuzinguana a na Ma Padri kwny Misimamo ya Kisiasa wakat wa Ukoloni
Sometimes damu changa zinazingua labda ndio sababu mhenga anarejea!Aliondoka jahazini kwenda kwenye kaboti, kaboti kakazidiwa upepo na mawimbi, jahazi linasepa, akirudi poa kwa ushauri ili nafikiri wa kijani wanahitaji damu changa machachari wanaojiamini...
Jina lake la kizungu kabla ya kujitoa Kanisani aliitwa Marcus, nduguze ni Wakristo mpaka Leowewe huenda ni MHENGA !shikamoo!
Bado mnamtumia Lowasa?...tumeshmtumia ametunufaisha inatosha. arudi akamalizie uhai wake FICEM.
nyie mlikua na nsimamo kumpokea lowasa? na badae sumaye??....nyie watu bana sijui mkojeKingunge hakuwahi kutoka ccm...hakujiunga na CDM ...yeye alikuja kuweka nguvu tu kwa lowassa ambaye aliamini kuwa kiongozi bora kuliko magufuli....
Hivyo anarejea wapi sasa ?
Tuseme anataka kurudi kwao ok fine ...hio itakuwa unafiki mkubwa wa ccm kumpokea...watakuwa watu wa ajabu sana kwani mtakumbuka hivi majuzi iliwafukuza wote walokua na msimamo wa kingunge hawa kina Sophia Simba na wenzake...hivyo hili litaonesha kuwa hawana msimamo.
KUMBE umenielewa. ndo hivyo ujue. ata wewe kama unafaida tunakutumia. kama ni galasha tupilia mbali hunafaidaBado mnamtumia Lowasa?
Ha ha ha, huna lolote la maana.KUMBE umenielewa. ndo hivyo ujue. ata wewe kama unafaida tunakutumia. kama ni galasha tupilia mbali hunafaida
MAGONJWA MTAMBUKA ni shida kupona🙄Ha ha ha, huna lolote la maana.
Nyumbani ni nyumbani hata Lowasa anatamani kurejea ni swala la muda tu!kama ametubu arudi tu nyumbani hamna shida
Walimpokea wasira juzi wakampokea mwapachu wakampokea slaa wengi tu wapowapokea aka.matapishikwani ccm huwa anapokea makapi au matapishi, wacha tuone, si walisema wanaotoka ccm kwenda vyama vingine ni makapi, scrapper au oil chafu, sasa wacha tuone watakavyopokea oil chafu
Ukishapema si pema tena..abaki huko hukoMhenga aliyesema pema ujapo pema
Leo mnamkataa kisa kuna tetesi?Kingunge hakuwahi kutoka ccm...hakujiunga na CDM ...yeye alikuja kuweka nguvu tu kwa lowassa ambaye aliamini kuwa kiongozi bora kuliko magufuli....
Hivyo anarejea wapi sasa ?
Tuseme anataka kurudi kwao ok fine ...hio itakuwa unafiki mkubwa wa ccm kumpokea...watakuwa watu wa ajabu sana kwani mtakumbuka hivi majuzi iliwafukuza wote walokua na msimamo wa kingunge hawa kina Sophia Simba na wenzake...hivyo hili litaonesha kuwa hawana msimamo.
Labda ndio Polepole anasema wanajiandaa kumpokea kiongozi mkubwa wa upinzani wiki hii(amesahau kuwa ni mwenzao bado)kumbe watanzania wanakumbuka kuwa hajawahi tioka na kuhamia chama chochotea!Aliondoka jahazini kwenda kwenye kaboti, kaboti kakazidiwa upepo na mawimbi, jahazi linasepa, akirudi poa kwa ushauri ili nafikiri wa kijani wanahitaji damu changa machachari wanaojiamini...