Tetesi: Kingunge kurejea CCM wiki hii?

Tetesi: Kingunge kurejea CCM wiki hii?

Kingunge hakuwahi kutoka ccm...hakujiunga na CDM ...yeye alikuja kuweka nguvu tu kwa lowassa ambaye aliamini kuwa kiongozi bora kuliko magufuli....
Hivyo anarejea wapi sasa ?
Tuseme anataka kurudi kwao ok fine ...hio itakuwa unafiki mkubwa wa ccm kumpokea...watakuwa watu wa ajabu sana kwani mtakumbuka hivi majuzi iliwafukuza wote walokua na msimamo wa kingunge hawa kina Sophia Simba na wenzake...hivyo hili litaonesha kuwa hawana msimamo.
Anaweza kupokelewa ili afukuzwe vizuri. Au anarudi akiwa sio kiongozi wa ngazi yoyote hivyo hana athari yoyote. Waliofukuzwa walikuwa viongozi.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
Umri ushaenda kaka arudi ccm iri afanye ninitenaà ana jipyaa

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Walimpokea wasira juzi wakampokea mwapachu wakampokea slaa wengi tu wapowapokea aka.matapishi

Post sent using JamiiForums mobile app
yaani hawa, wakitoka wanatukanwa na kukashifiwa na kurudi vile vile wanakuwa wasafi
 
Aliondoka jahazini kwenda kwenye kaboti, kaboti kakazidiwa upepo na mawimbi, jahazi linasepa, akirudi poa kwa ushauri ili nafikiri wa kijani wanahitaji damu changa machachari wanaojiamini...
Duh!
Umenikumbusha ile kauli yetu "...Kama mna ushahidi LOWASA ni fisadi mpelekeni Mahakamani"
Kwa CHADEMA ya sasa LOWASA hajawahi kuwa FISADI.
 
Alijitoa kwny Ukatoliki akiwa Kidato cha Pili baada ya kuzinguana a na Ma Padri kwny Misimamo ya Kisiasa wakat wa Ukoloni
We Jamaa mwongo na mjinga sana leo ndo nimegundua hili! Kingunge aliachana na dini baada ya kuwiva Itikadi za kijamaa za Warusi na aliporudi toka urusi ndo aliachana kabisa na dini Acha uongo wa kitoto.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!
Mwandishi mmoja wa riwaya aitwae JAMES HADLEY CHASE aliwahi kutunga kitabu kinaitwa YOU ARE LONELY WHEN YOU ARE DEAD. Kingunge was lonely; he was dead. Ni ubinadamu tu mtu kupigania uhai wake asife. Poor fellow!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kuna taarifa zinaenea kuwa Kingunge Ngombale Mwiru anarejea CCM wiki hii inayoanza leo. Kuna yeyote anayejua ukweli/uzushi wa habari hii atujuze!

Sasa kama Wewe uliyeleta tu hii habari / taarifa hujui na huna uhakika Je Sisi tutajuaje?
 
Kingunge hakuhama CCM na hakujiunga na chama kingine chochote kile
Ni kweli ila alikisaliti chama chake cha ccm kwa kukifanyia kampeni chama cha ukawa kwenye uchaguzi mkuu wa 2015.

Lakini hata baada ya kufanya usaliti huo chama chake cha ccm hakikumchukulia hatua yo yote ya nidhamu hususani hakikumtimua kwenye chama kama kilivyo watimua wasaliti wengine kama akina Sophia Simba. Chama chake cha ccm hakikufanya hivyo kwa sababu ya heshima kubwa iliyonayo juu yake.

Hata wazee kama Lowassa na Sumaye chama chao cha ccm hakijawahi kuwatimua, na wao wala hawajarudisha kadi zao za chama na wala hatujawahi kuwaona wanakabidhiwa kadi za CDM hadharani kama walivyopewa akina Wema Sepetu!! Hata hayo magwanda ya CDM huwa hawayavai. Haya mambo ni kiini macho.
 
Wiki ina Siku saba tumeanza Leo tusubiri ziishe

Post sent using JamiiForums mobile app
 
We Jamaa mwongo na mjinga sana leo ndo nimegundua hili! Kingunge aliachana na dini baada ya kuwiva Itikadi za kijamaa za Warusi na aliporudi toka urusi ndo aliachana kabisa na dini Acha uongo wa kitoto.

Post sent using JamiiForums mobile app

Matusi ya nini kwny Mjadala wa kawaida sana Kama huu , nidanganye kwa interest ipi hapa? Ikiwa Kanuni yako ni kila ulichosikia Mwanzo ndio ukweli hilo sio kosa langu ni la kwako!

Uongo huwa uongo kwa kuweka ushahidi unaothibitisha huo Uongo!
Ukisema uongo bila ya uthibitsho nikupe jibu gani?

Tafuta Hotuba ya Mzee Kingunge Mwenyewe akiliponda Kanisa Katoliki kwa kutoa Waraka wa Uchaguzi 2010 uanze kupaata Mwanga wa nikichosema,
 
Kingunge hakuwahi kutoka ccm...hakujiunga na CDM ...yeye alikuja kuweka nguvu tu kwa lowassa ambaye aliamini kuwa kiongozi bora kuliko magufuli....
Hivyo anarejea wapi sasa ?
Tuseme anataka kurudi kwao ok fine ...hio itakuwa unafiki mkubwa wa ccm kumpokea...watakuwa watu wa ajabu sana kwani mtakumbuka hivi majuzi iliwafukuza wote walokua na msimamo wa kingunge hawa kina Sophia Simba na wenzake...hivyo hili litaonesha kuwa hawana msimamo.
atapokelewa halafu atasomeshwa namba kama kawaida

what goes around come around
 
Back
Top Bottom