Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,933
- 5,394
Ni kweli mawazo ya kingunge ni sahihi kichama kwa sasa kuliko binadamu yeyote aliyewahi kuumbwa chini ya jua. Yeye ni miongoni mwa watu watatu walio-design na kuandika katiba ya CCM, anaielewa katiba sawa na mimi ninavyoielewa Biblia.
wewe ulishiriki kuandika biblia?