hao wakirudi ujue ni mashushu wametumwa na eddo. ccm kuweni makini.....
Wale ni watu wanao jitambua hivyo hawawezi kurudi kwenye nyumba inayo nuka rushwaTaarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.
Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.
We dont need them.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kutamani kuwa mwana ccm
Hao mashushu mbona walishindwa kumsaidia fisadi Lowasa kushinda Uraisi? Na tena walihamia kwa fisadi Lowasa wakati bado wabichi kabisa CCM iweje waweze leo hii muda umeshapita? Acha kuota!
Ndugu wewe ukiwa CCM na..January Makamba....atakuwa naniTaarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.
Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.
We dont need them.
Chama kimeoza kwa rushwa na ufisadiTaarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.
Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.
We dont need them.
Samehe saba mara sabiniTaarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.
Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.
We dont need them.
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh magamba yana bembelezaSamehe saba mara sabini
Wale ni watu wanao jitambua hivyo hawawezi kurudi kwenye nyumba inayo nuka rushwa
Kama unajua hesabu ya kutoa na kujumlisha utakuwa na majibuwamesoma alama za nyakati, hata wasingeondoka ccm walikuwa hawahitajiki tena. CCM ina watu wanaojitambua ambao hata wakipata misukosuko hawahami. Watu kama mzee Malecela, Warioba, Cleopa msuya, Salim Hamed Salim n,k. Kuna watu wako selfish kama hao kina kingunge, mwapachu, luwasa, mahanga n.k hawana msaada kwa chama zaidi ya kuwa wabomoaji. Kwanza si wameshaenda upinzani je chama kimekosa ushindi?? majibu unayo mwenyewe ,,,,,,
Wakikubali kuchapwa viboko ishirini hadharani hakuna shida...Warudi wamesahau nini kwenye hilo jalala?Au upo ndotoni
Taarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.
Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.
We dont need them.
Kwa majizi?Kule walienda tu kusaidia, wanataka kurudi home.