Tetesi: Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM

Tetesi: Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM

Taarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi.

Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba chama kisikubali kabisa hao watu warudi chamani tutakisuka upya wenyewe.

We dont need them.
Toba.
 
Warudi kufanya nini kwenye chama cha mafisadi
ccm wenzenu wameshajisafisha, na wanaendelea kutumbuana majipu wewe bado una story za mwaka 47. chadema ndio imesukumiziwa mafisadi sasa na kinaitwa chama cha kupokea mafisadi na kuyasafisha. unalo! !! aibuuuuuuu. sitaki hata kusikia habari hii
 
Baada ya Uchaguzi humu
ndani Magamba wanajitekenya mwenyewe ,
(kwa Lowassa
Kingunge ,Ukawa sumaye
Na wengine wengi)

Na kucheka wenyewe kwa sababu
MTU
wao hata akipewa uenyekitei hatoshi !!
 
mimi huwa nashangaa nikimwona kijana anashabikia ccm,..
tenaa msomi,..nashangaa sanaaa,..
kazi ya msomi ni kuhoji,kudadisi na kupambanua mambo na kuelimisha wananchi ukweli na uwazi wa mambo,..
fisiem inaendesha nchi kwa misingi mibovu,madhaifu mengi yanafahamika,..
kubwa ni kutosimamia rasilimali za nchi vizuri
na kupelekea taifa kuwa maskini pamoja na rasilimalui zote tulizonazo,...
uchafu unaofanywa na fisiem uko wazi,.machafu yote yapo open kabisa,.
ssasa ewe msomi faida yako ni nini ndani nchii hii,.
tukiwa shule tumeona na kusoma jinsi viongoz wa africa walivyonatamaa na
kupelekea kurithishana madaraka,..ili kulindana
mf;
hussein mwinyi,akina ridhi1,akina khalfani,akina january makamba,nnauye vuvuzela bado mtz husomi alama za nyakati2???,..
chukia ccm,.kma unajielewa
tunahitaji kumove from where we are,.
kwa kubadili system ya uongozi na,..
hii system tunaoweza kubadili system ni mimi nawewe wasomi tukishirikiana kuelimisha wasiosoma,..
kubadisha system,..HIVI KIJANA ANAKUSHINDA KINGUNGE WA ZAMANI
KIFKRA.,..yeye aliona SICM sio sahihi nchi inaangamia..leo mnamkejeliiii
Badilika
 
Tunawakaribisha saaaana ccm mbele kwa mbele KAZI TULIOWATUMA WAMEMALIZA killa atakayekamilisha kazi awahi UKAWA pasipo kuidhibiti ingechua nchi ili kuhakikisha KASHIFA ZA UFISADI hazitulegezi tushindwe kujitetea kwa wananchi tulituma mamuluki. Kama kwa Taarifa hizi watashtukia TULIENI HUKO subirini maelekezo it was convert mission
 
Mara nyengine uwe unaweka hakiba ya maneno
Huyu hua anasumbuliwa Na mihemko tu sasa hivi kwenye Uzi Wa Jana unaozungumzia kurudi mzee mwapachu CCM anaongea kingine kabisa kasahau.
 
Huyu hua anasumbuliwa Na mihemko tu sasa hivi kwenye Uzi Wa Jana unaozungumzia kurudi mzee mwapachu CCM anaongea kingine kabisa kasahau.
sisi tumeshamshtukizia huyu mwehu..hajulikani misimamo yake anafuata upepo kama MWAPACHU
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom