ngudengude
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 1,175
- 466
Kama unajua hesabu ya kutoa na kujumlisha utakuwa na majibu
sasa kwanini wanataka kurudi au walipoenda huko kijiwe kigumu nini? walifikiri mambo mepesimepesi tu, Mbowe alishawaambia ukitoka ccm na kuja upinzani hatugawani vyeo ila ni kushambulia serikali tu iliyoko