Mmawia JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 122,494 Reaction score 96,074 Mar 17, 2016 #81 nao said: Majibu yameshaanza kupatikana very soon jibu kamili litapatikana. Click to expand... Mwapachu alivyotoka ccm aliitwa mzigo na makapi sasa karudi ccm ayari amekuwa LULU na ALMASI?kweli ccm ni kichaka cha sanaa
nao said: Majibu yameshaanza kupatikana very soon jibu kamili litapatikana. Click to expand... Mwapachu alivyotoka ccm aliitwa mzigo na makapi sasa karudi ccm ayari amekuwa LULU na ALMASI?kweli ccm ni kichaka cha sanaa
Y yasn gahoile JF-Expert Member Joined Jan 4, 2016 Posts 423 Reaction score 110 Mar 17, 2016 #82 nkongu ndasu said: hao wakirudi ujue ni mashushu wametumwa na eddo. ccm kuweni makini..... Click to expand... walivohamia ukawa awakuwa mashushu wa kutumwa na ccm ila wanaporudi ndo wawe mashushu wa edo yale yale tu kwetu kizur kwao kibaya
nkongu ndasu said: hao wakirudi ujue ni mashushu wametumwa na eddo. ccm kuweni makini..... Click to expand... walivohamia ukawa awakuwa mashushu wa kutumwa na ccm ila wanaporudi ndo wawe mashushu wa edo yale yale tu kwetu kizur kwao kibaya
Mavipunda JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 7,072 Reaction score 7,891 Mar 17, 2016 #83 Alfan issa said: wabak huko huko watuache na ccm yetu Click to expand... Ndio wameanza kurudi maana hakuna namna sasa..
Alfan issa said: wabak huko huko watuache na ccm yetu Click to expand... Ndio wameanza kurudi maana hakuna namna sasa..
MOTOCHINI JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 28,064 Reaction score 31,401 Mar 17, 2016 #84 Bodo mzee kutumika Anawaza atarudije
Mavipunda JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 7,072 Reaction score 7,891 Mar 17, 2016 #85 Mmawia said: Mwapachu alivyotoka ccm aliitwa mzigo na makapi sasa karudi ccm ayari amekuwa LULU na ALMASI?kweli ccm ni kichaka cha sanaa Click to expand... Samahani una miaka mingapi? We hujawajua CCM subiri siku chache zijazo ndio utazidi kushangaaa..
Mmawia said: Mwapachu alivyotoka ccm aliitwa mzigo na makapi sasa karudi ccm ayari amekuwa LULU na ALMASI?kweli ccm ni kichaka cha sanaa Click to expand... Samahani una miaka mingapi? We hujawajua CCM subiri siku chache zijazo ndio utazidi kushangaaa..