Ulimwengu Mbaya
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 1,218
- 840
๐๐๐๐๐ Ni kweli siasa Ni usaniiWote wasanii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐ Ni kweli siasa Ni usaniiWote wasanii
Weweeeeee utafanya mtu atumiwe Moshi wa Ruwangwa.Huyuhuyu PM ajae.
Kwani nae anakunywa Konyagi na kuvuta bangi kama jamaa zako?Msanii Kingwendu amesema kwa mara nyingine atagombea ubunge wa Kisarawe kupitia chama chake cha CUF na safari hii ameapa kumng'oa mshindani wake mkuu Suleiman Jaffo
Maendeleo hayana vyama!
Kingwendu hamuwezi jafo tena chama lenyewe cufMsanii Kingwendu amesema kwa mara nyingine atagombea ubunge wa Kisarawe kupitia chama chake cha CUF na safari hii ameapa kumng'oa mshindani wake mkuu Suleiman Jaffo
Maendeleo hayana vyama!
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaaa....... Nilidhani UKAWA ndio Chadema!
Ndoto za mchanaMsanii Kingwendu amesema kwa mara nyingine atagombea ubunge wa Kisarawe kupitia chama chake cha CUF na safari hii ameapa kumng'oa mshindani wake mkuu Suleiman Jaffo
Maendeleo hayana vyama!
Kwa Jaffo ni ngumu sana,uchaguzi ulioopita Jaffo alikuwa hakulikani sana,ila kwa sasa Jaffo anajulikana mno na ni kati ya mawaziri wazuri awamu hiiJaffo huyu huyu wa TAMISEMI?
DuhMsanii Kingwendu amesema kwa mara nyingine atagombea ubunge wa Kisarawe kupitia chama chake cha CUF na safari hii ameapa kumng'oa mshindani wake mkuu Suleiman Jaffo
Maendeleo hayana vyama!
Hilo mbona ni wazi kabisaKama kweli atagomba basi ni "pandikizi"
Kama anataka kutoa ushindani mzuri aachane na CUF aende ACT WAZALENDO au Chadema. Cuf sasa ni sawa na TLPMsanii Kingwendu amesema kwa mara nyingine atagombea ubunge wa Kisarawe kupitia chama chake cha CUF na safari hii ameapa kumng'oa mshindani wake mkuu Suleiman Jaffo
Maendeleo hayana vyama!
Nani siyo pandikizi?!Kama kweli atagomba basi ni "pandikizi"
Hamna bhana hajatisha kivile,alipata kura 8000+ na Jaffo 26,000+