one one
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 332
- 372
Usisahau kingwendu ameelimika vizuri tu.Hili ni kosa la CCM kuufanya ubunge uoneka ni sawa na u- class-monitor, na hasa kwa ile tabia yao kukubali miswaada kwa style ‘ndiyooooo’ bila hata kuielewa miswaada, sasa kila mtu anataka ubunge