Kinje asema hatoweka malengo na mwanamke kwani wana tamaa ya kupitiliza, asema anaangalia maisha yake tu

Kinje asema hatoweka malengo na mwanamke kwani wana tamaa ya kupitiliza, asema anaangalia maisha yake tu

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Kinje kama kinje kaongea

Akiongea na Radio moja pale SA

Kasema kwa sasa anaangalia mambo yake kwani kuweka malengo kwa wanawake ni kupoteza muda
Amesema kwa sasa wanawake wamekua na tamaa ya Mali na mafanikio ya haraka kuliko chochote.

"Fikiria mtu anajiuza apate pesa unadhani huyo anaweza kua mtu Bora kwako"

Kinje katolea mfano matajiri wanavyopoteza utajiri wao dunia nzima hasa kwa watu ambao hawakuchangia wala kuhusika chochote kwenye utafutaji.

Kasema Yuko makini Sana na kizazi hiki cha wanawake matapeli wa Mali za wanaume.
Baadae Nitaweka mahojiano yake yote mpate kusikiliza.
 
Kinje kama kinje kaongea
Akiongea na Radio moja pale SA ,
Kasema kwa sasa anaangalia mambo yake kwani kuweka malengo kwa wanawake ni kupoteza muda
Amesema kwa sasa wanawake wamekua na tamaa ya Mali na mafanikio ya haraka kuliko chochote.
" Fikiria mtu anajiuza apate pesa unadhani huyo anaweza kua mtu Bora kwako "
Kinje katolea mfano matajiri wanavyopoteza utajiri wao dunia nzima hasa kwa watu ambao hawakuchangia wala kuhusika chochote kwenye utafutaji.
Kasema Yuko makini Sana na kizazi hiki cha wanawake matapeli wa Mali za wanaume.
Baadae Nitaweka mahojiano yake yote mpate kusikiliza.
Team sapoti ndoa njooni mpangue hii hoja.

NB: zingatieni zaidi ya 95% ya wanawake wa kizazi hiki huuza miili yao, either directly or indirectly.
 
Kwa umri wake lazima apendewe pesa hakuna namna
Kujilinda ni haki yake akiteleza anapoteza Kila kitu
This has nothing to do with his age, literally wanawake wengi wapo hivyo. Regardless umri unaweza ukapata mwanamke golddigger lakini ukiwa na bahati(bahati ya mtende) unaweza ukapata mwanamke ambaye hajajia ulichonacho ila kwa sababu zozote zile mki-divorce jiandae kugawana naye ambavyo hakuangika nawe kwenye kuvitafuta. It is what it is dude.
 
Back
Top Bottom