Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Units 80 kwa umeme wa majumbani.Naongezea ukihonga Elfu 10 unapoteza LUKU Units 28 wa GePG.
Kuhonga ni haramu sema tu watu hawajui Mzee.Units 80 kwa umeme wa majumbani.
Kastuka mapema wapi mtu ana zaidi ya 55 keshapigwa vya kutosha. Kashtuka tayari uzee huo..Yupo Sahihi kastuka mapema.
Ewe mwanaume muhongaji, unaye honga elfu 10 unapoteza tofali 10....
Dah!Kinje kama kinje kaongea
Akiongea na Radio moja pale SA ,
Kasema kwa sasa anaangalia mambo yake kwani kuweka malengo kwa wanawake ni kupoteza muda
Amesema kwa sasa wanawake wamekua na tamaa ya Mali na mafanikio ya haraka kuliko chochote.
" Fikiria mtu anajiuza apate pesa unadhani huyo anaweza kua mtu Bora kwako "
Kinje katolea mfano matajiri wanavyopoteza utajiri wao dunia nzima hasa kwa watu ambao hawakuchangia wala kuhusika chochote kwenye utafutaji.
Kasema Yuko makini Sana na kizazi hiki cha wanawake matapeli wa Mali za wanaume.
Baadae Nitaweka mahojiano yake yote mpate kusikiliza.
Mkuu yeye kasema mnaangalia pesa Tu siku hiziAfter soo many rejections from women na kibamia chake no wonder amekua na perspective hio
Kustuka ni muhimuKuhonga ni haramu sema tu watu hawajui Mzee.
😅😅😅😅 uzeeni au sio.Kastuka mapema wapi mtu ana zaidi ya 55 keshapigwa vya kutosha. Kashtuka tayari uzee huo..
mkuu yamekukuta na weweHuyu jamaa angeleta hoja mapema ningejifunza. Kuna mwanamke kanirudisha kimaendeleo, now najipanga tena.
Kumbe unamjua yule Kinje wa mtaa wa chini? Nilikuwa mdogo sana na shoga wa kwanza kumjua alikuwa huyo Kinje.Hili Jina ndo naliona hapa! Miaka ya nyuma watu wa moshi mjini watakuwa washalisikia hili jina, lilikuwa la "gasho" maarufu sana
Sasa ukidate na mzee ana miaka 60 utampendea nini zaidi ya pesa? Hebu tuwe serious kidogo😀Mkuu yeye kasema mnaangalia pesa Tu siku hizi
After soo many rejections from women na kibamia chake no wonder amekua na perspective hio
Halafu kwa utulivu gani alionao Kinje? Zuchu sio king'ang'anizi kumzidi Anitha lakini yalimshinda kajiondokea zake.Sasa ukidate na mzee ana miaka 60 utampendea nini zaidi ya pesa? Hebu tuwe serious kidogo😀
Hakuwa mooaji kama maisha mazuri umaarufu alikuwa navyo kitambo,bado anatabia ya kivulana.marriage is commitmentKwa umri wake lazima apendewe pesa hakuna namna
Kujilinda ni haki yake akiteleza anapoteza Kila kitu
Wewe kwa kujifanya tu eti huna hela.Hii haihusu tusio na hela.