Mrs Byesige
JF-Expert Member
- Nov 5, 2019
- 862
- 1,549
Umekuja lini mjini?Kamuharibu kivipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekuja lini mjini?Kamuharibu kivipi?
Watu walikuja na sherehe za mwenge hapa mjiniWewe mjini WA kuja mkuu
Ila harufu ya pesa IPO hao kufirisika sio rahisi maana Wana deal na wenye ramani za townHana hela kwasasa inaesemekana
Baada ya kuliwa na yeye kuwala sanaKinje kajanjaruka
Ni kweli .ila wa mujini wanamjua amedrop mbayaIla harufu ya pesa IPO hao kufirisika sio rahisi maana Wana deal na wenye ramani za town
hahahaha..msameheUmekuja lini mjini?
Amefupisha jina anaitwa Kinjekitile Ngw'ale, ni Mganga wa jadi aliyewaambia Wapiganaji kwamba ameshafanya mambo hivyo wakipigwa risasi na Wajerumani waseme tu "maji" kwamba zile risasi zitageuka kuwa maji...kilichowakuta soma vitabu vya historia,vita viliitwa majimaji.kinje ndo nani huko tiktok
Umekuja lini mjini?
Okay ..alioa kabinti kadogo dogo( nadhani humu ipo) alioa fasta baada ya K lyn kumtoroka.kavalishwa leo pete kesho k lyn akasepa sauzi .bas akamuoa anita ..few yrs anita akawa amedumbukizwa kwenye uraibu wa madawa ya kulevya na pombe kwa sana ...akachakaa mtoto wa watu...ila now atleast yuko poa...! Fukunyua utayakutaMwaka jana
The legend has spokenKinje kama kinje kaongea
Akiongea na Radio moja pale SA ,
Kasema kwa sasa anaangalia mambo yake kwani kuweka malengo kwa wanawake ni kupoteza muda
Amesema kwa sasa wanawake wamekua na tamaa ya Mali na mafanikio ya haraka kuliko chochote.
" Fikiria mtu anajiuza apate pesa unadhani huyo anaweza kua mtu Bora kwako "
Kinje katolea mfano matajiri wanavyopoteza utajiri wao dunia nzima hasa kwa watu ambao hawakuchangia wala kuhusika chochote kwenye utafutaji.
Kasema Yuko makini Sana na kizazi hiki cha wanawake matapeli wa Mali za wanaume.
Baadae Nitaweka mahojiano yake yote mpate kusikiliza.
umeambiwa ni kinje kama kinjekinje ndo nani huko tiktok
kibamia? Sasa kama alikutana na bwawa asemaje?After soo many rejections from women na kibamia chake no wonder amekua na perspective hio
kwenye hela hakuna uzee, binti anaweza kujichanganya achume mali. Kwa umri huo ni bora tu aachane na suala la kupiga kambi la kudumu mpaka kifo. Apate wa temporary tu anampa za sabuni asepe, kesho aje wa muda mfupi tena nae ale ya mboga aondoke bila kupiga kambi la kudumuKastuka mapema wapi mtu ana zaidi ya 55 keshapigwa vya kutosha. Kashtuka tayari uzee huo..
Dah ndio kinje alikuwa jirani nilikuwa naelewana nae kwao kulikuwa kunaangaliana na naseeb hotelHili Jina ndo naliona hapa! Miaka ya nyuma watu wa moshi mjini watakuwa washalisikia hili jina, lilikuwa la "gasho" maarufu sana
Hivi umenielewa?kibamia? Sasa kama alikutana na bwawa asemaje?
mrembo hujambo?Hivi umenielewa?